mkuu ujue ntamvisha mbele ya wakwe ck ya kutoa mahari ndo mana nimeuliza hivyo,ingekuwa tunavishana wawili tu mbona simpo maneno yapo mengi.Mkuu kwani umekuwa bubu mpaka ukose maneno ya kumwambia mpenzi wako au mchumba wako mtarajiwa
hayana formula ni wewe tuu na mapenzi yako na unavyompanda mwenzako
Mambo mengine yanakuja yenyewe bana hayahitaji utumie nguvu kubwa kama unasukuma gari
mkuu ujue ntamvisha mbele ya wakwe ck ya kutoa mahari ndo mana nimeuliza hivyo,ingekuwa tunavishana wawili tu mbona simpo maneno yapo mengi.
Hapa ndio mimi naona huwa tunakosea kwenye hili swala la kuvishana pete. Mi nadhani kitendo cha kumvika msichana pete kinatakiwa kiwe "sapraiz" ili sasa uweze kumuuliza "wili yuu meri mii?" Sasa ukishamuambia unakuja kumvika pete nyumbani kwao, au kama wengine wanavyofanya sherehe ya kumvika mtu pete, si tayari anakua ameshajua utamvika pete? Kwahiyo kitendo cha kuja kwene hiyo sherehe ni kwamba ameshakubali!
hjui kama ntamvisha siku hiyo ye anajua mi ntaenda kutoa mahari 2 basi.
Nakupenda......., nafurahi na ninaheshimu uhusiano mzuri ambao tumekuwa nao,na leo hii ninaomba heshima ya kuwa mume wako na Mungu akitupa bahati uwe mama wa watoto wangu...Naomba pete hii iwe alama na muendelezo wa uhusiano mzuri kuelekea kwenye ndoa.
hii nzuri sana though hutakiwi ku copy and paste km ilivyo tafuta maneno yako but yawe ktk mtiririko huu..wewe michelle wewe..
michelle we ni noma umenitoa porini umenileta barabrani kwa hiyo mistari yako,thnx dada.Nakupenda......., nafurahi na ninaheshimu uhusiano mzuri ambao tumekuwa nao,na leo hii ninaomba heshima ya kuwa mume wako na Mungu akitupa bahati uwe mama wa watoto wangu...Naomba pete hii iwe alama na muendelezo wa uhusiano mzuri kuelekea kwenye ndoa.
Nakupenda......., nafurahi na ninaheshimu uhusiano mzuri ambao tumekuwa nao,na leo hii ninaomba heshima ya kuwa mume wako na Mungu akitupa bahati uwe mama wa watoto wangu...Naomba pete hii iwe alama na muendelezo wa uhusiano mzuri kuelekea kwenye ndoa.
Mkuu kwani umekuwa bubu mpaka ukose maneno ya kumwambia mpenzi wako au mchumba wako mtarajiwa
hayana formula ni wewe tuu na mapenzi yako na unavyompanda mwenzako
Mambo mengine yanakuja yenyewe bana hayahitaji utumie nguvu kubwa kama unasukuma gari
Nakupenda......., nafurahi na ninaheshimu uhusiano mzuri ambao tumekuwa nao,na leo hii ninaomba heshima ya kuwa mume wako na Mungu akitupa bahati uwe mama wa watoto wangu...Naomba pete hii iwe alama na muendelezo wa uhusiano mzuri kuelekea kwenye ndoa.