pete wapendazo wadada na mabinti.

pete wapendazo wadada na mabinti.

Mostwanted boy

Senior Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
115
Reaction score
10
nataka kumvisha pete mpenzi wangu, nimeaanda 20,000/=. Je ni pete rangi gani ambazo mabinti wanazipenda zaidi? Msaada wenu wanajamvi. Asanteni!
 
nataka kumvisha pete mpenzi wangu, nimeaanda 20,000/=. Je ni pete rangi gani ambazo mabinti wanazipenda zaidi? Msaada wenu wanajamvi. Asanteni!

Mkuu pete gani hiyo ya elfu ishirini? nakumbuka mimi nilinunua pete mwaka 2010 na gram moja ya gold ilikuwa inauzwa elfu 60, sasa utahitaji japo gram tatu na kwa sasa nadhani itakuwa bei iko juu zaidi, andaa angalau kuanzia laki mbili ndo unaweza kupata pete ya maana kidogo.
 
Wanapenda hizi hapa mkuu
ImageUploadedByJamiiForums1385187821.875135.jpg
 
Mkuu pete gani hiyo ya elfu ishirini? nakumbuka mimi nilinunua pete mwaka 2010 na gram moja ya gold ilikuwa inauzwa elfu 60, sasa utahitaji japo gram tatu na kwa sasa nadhani itakuwa bei iko juu zaidi, andaa angalau kuanzia laki mbili ndo unaweza kupata pete ya maana kidogo.

asante kwa ushauri
 
kuna wale wauza urembo kwenye vikapu huwa wanapita mitaani, wasubiri hao mkuu utapata ya buku nadhani. haya mambo nadhani huyawezi mweleze tu mchumba kuwa huna uwezo asubiri pete ya ndoa ambayo na kwa 70,000 hutapata.
 
Back
Top Bottom