SaidAlly JF-Expert Member Joined Jan 22, 2011 Posts 2,339 Reaction score 2,249 Jan 28, 2019 #121 Khantwe said: haikurudi Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar
Khantwe said: haikurudi Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar
Khantwe JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 59,468 Reaction score 119,632 Jan 28, 2019 #122 Uliipata wapi? SaidAlly said: Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Uliipata wapi? SaidAlly said: Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,161 Reaction score 831,838 Jan 28, 2019 Thread starter #123 SaidAlly said: Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar Click to expand... Jr
SaidAlly said: Niliambiwa jini ukiliweka kwenye chupa ukaifunga halitoki. Nikaifunga kamba chupa nikaitupa bahari wakati natoka zanzibar Click to expand... Jr
Code Breaker JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 1,019 Reaction score 446 Jan 28, 2019 #124 Inaendelea kutanga! MJ hebu toa description fupi wasomaji wapate "kuiepuka" "kama" wakipewa Sent using Jamii Forums mobile app
Inaendelea kutanga! MJ hebu toa description fupi wasomaji wapate "kuiepuka" "kama" wakipewa Sent using Jamii Forums mobile app
Bhagavan JF-Expert Member Joined Oct 28, 2017 Posts 2,005 Reaction score 2,894 Jan 28, 2019 #125 Hiyo pete itakuwa ina mibaraka sema hao hawakujuwa kuitumia
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,161 Reaction score 831,838 Jan 29, 2019 Thread starter #126 Bhagavan said: Hiyo pete itakuwa ina mibaraka sema hao hawakujuwa kuitumia Click to expand... Jr
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,161 Reaction score 831,838 Jan 29, 2019 Thread starter #127 Code Breaker said: Inaendelea kutanga! MJ hebu toa description fupi wasomaji wapate "kuiepuka" "kama" wakipewa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Haina alama rasmi ila kama ukiipata na kuanza kuona mapichapicha basi jua tayari umeshaingia kingi Jr
Code Breaker said: Inaendelea kutanga! MJ hebu toa description fupi wasomaji wapate "kuiepuka" "kama" wakipewa Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Haina alama rasmi ila kama ukiipata na kuanza kuona mapichapicha basi jua tayari umeshaingia kingi Jr