mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 916
Wakuu amani kwenu,
kwangu mimi hii naiona imekaa vema,serikali imetangaza kwamba kuanzia sasa pesa za maendeleo katika shule hazitapitia tena kwenye acounti za halmashauri kama ilivyokuwa zamani badala yake serikali imeamua pesa hizo zitawekwa moja kwa moja kwenye acount za shule husika.
Hali hii itapunguza mzunguko wa kupata pesa hizo lakini pia itaziba mianya ya ulaji wa pesa hizo uliokuwa unafanywa na baadhi ya watendaji wa halmashauri wasiokuwa waaminifu.
chanzo; taarifa za habari saa mbili usiku ITV na TBC.
kwangu mimi hii naiona imekaa vema,serikali imetangaza kwamba kuanzia sasa pesa za maendeleo katika shule hazitapitia tena kwenye acounti za halmashauri kama ilivyokuwa zamani badala yake serikali imeamua pesa hizo zitawekwa moja kwa moja kwenye acount za shule husika.
Hali hii itapunguza mzunguko wa kupata pesa hizo lakini pia itaziba mianya ya ulaji wa pesa hizo uliokuwa unafanywa na baadhi ya watendaji wa halmashauri wasiokuwa waaminifu.
chanzo; taarifa za habari saa mbili usiku ITV na TBC.