Pesa ya Field itatolewa lini?

Mi kesho namalizia assessment ya 4 manake nimeona hela ni miznguo afu watoto wanataka kupgwa jek
 
tunabana matumizi kwa sasa..hata miaka ijayo hizi field zote itabidi ziwe zinafanyika mwezi ramadhan na zingine kwaresma ili ziendane na kasi ya kubana matumizi
Jaman mm mwenyewe npo field hapa yan ckuhz pesa hamna......yan unafanya field ya uhacbu unashika pesa tu lkn hulipw.....Auwiiiiiiiiii shikamoo maguful
 
Namba 0 kwa kirumi inaandikwaje!?
HAPA KAZI TU.
 
Jaman mm mwenyewe npo field hapa yan ckuhz pesa hamna......yan unafanya field ya uhacbu unashika pesa tu lkn hulipw.....Auwiiiiiiiiii shikamoo maguful

Polenii sana..mngewahi kusoma kipindi cha JK.
 
Huwwwwwiiiiiii
Najuta kupatikana kipind cha kuisoma namba.
Kwel nmekoma na nitamsaidia LOWASA kufanya kampen
 
JK tulikuwa tunamtukana mzee wa watu...sasa ngoja tulipwe....JK mi nisamehe bure sikujua nilitendalo
 
hivi hiyo pesa ya field hutolewa kwa level ipi diploma ama degree?
 
mwenye new updates jamani kuhusu hela ya field.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…