Pesa ya Field itatolewa lini?

Samir7900000

Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
52
Reaction score
26
Habari JF, wenye update kuhusu pesa ya Field maana mambo si mambo tulioko vijijini kufundisha.
 
Mm sijafanyiwa assessments mpaka Leo!
Mateso kweli kweli, wakufunzi wanasema hawajapewa hela.
 
Bado mkuu subir tuu baada ya hizo week mbili mambo yatakuwa shwar
 
Hakuna pesa.. Serikali inabana matumizi.. Vumilia tu, si ulishangilia wacha waisome namba... Ulidhan hizo namba ni moja mbili tatu auuu???
 
tunabana matumizi kwa sasa..hata miaka ijayo hizi field zote itabidi ziwe zinafanyika mwezi ramadhan na zingine kwaresma ili ziendane na kasi ya kubana matumizi
watoe pesaaaa
 
πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Bado hatujamaliza kuwa hakiki wanafunzi hewa endeleeni kusubiria
 
Habari JF, wenye update kuhusu pesa ya Field maana mambo si mambo tulioko vijijini kufundisha.
muda wa field hauja wadia rudi nyumbani mpaka tarehe 7 kama waziri wa elimu alivyowaambia au subiri taarifa nyingine kama itasogezwa mbele au kusitishwa BUT pole sana kijana
 
muda wa field hauja wadia rudi nyumbani mpaka tarehe 7 kama waziri wa elimu alivyowaambia au subiri taarifa nyingine kama itasogezwa mbele au kusitishwa BUT pole sana kijana
hz0 week mbili wameanza kuzihesabu tangu lini....?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…