PESA Vs MASHINE

PESA Vs MASHINE

Abdul Mnyama

Member
Joined
Aug 3, 2018
Posts
16
Reaction score
9
Nilikuwa nawaza hapa kwa harakaharaka kati ya PESA na MASHINE (urijali) kwa mwanaume kipi ni muhimu zaidi kuwa nacho (other factors remain costant).

Ni ukweli usioshaka kwamba pesa ni mchawi wa kila kitu hasa mapenzi ya sikuizi ila wasiwasi wangu ni kwamba hivi ni kweli pesa pekeake inatosha kumpa mwanaume sifa yake ya Uanaume?..

Hivi ni kweli Mwanamke anaweze kuridhika na Mwanaume mwenye pesa lakn kwenye sex not fit?

Me nahisi Urijali (Mashine) first then Pesa inakufuata. japokuwa Wanawake wengi wanaangalia Pesa kwanza thn wakija kushtuka Mashine haifanyi kazi wanaanza kuchepuka afu utakuta anapigwa na Jamaa mwenye Mashine yake Timamu ila mfukoni hana kitu.

Sasa kipi bora hapo Pesa au Mashine..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu za mashine hutegemea na services ya machine yenyewe. Kama humwagi na kuweka oil safi na original, kama hufanyi service ama unaweka mafuta machafu machine haiwezi kufanya kazi. Ukiwa na fedha na ukajua jinsi ya kuishi utakula vizuri, utalala vizuri, unaweza kununua virutubisho na machine ikapiga kazi mpaka kufika umauti wako. Ukikosa fedha machine inapiga kazi ikiwa bado haijachoka tu katika uzee wako hakuna kitu tena. Kuna utafauti mkubwa sana. Ndio maana wakina Mzee Mengi wanakula wajukuu zao na bado wanazaa watoto.
 
Vyote viwepo kwa wastan wake, na hata kimoja wapo kikimzid kingine haina shida, ila vyote viwepo...
 
Back
Top Bottom