Pesa ni ya Shetani au ya Mungu?

Pesa ni ya Shetani au ya Mungu?

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Joined
Dec 22, 2010
Posts
17,018
Reaction score
20,489
Nashindwa kujua, hivi pesa ni mali ya nani?

Katika maandiko matakatifu tunasoma yakuwa Yesu alinyanyua sarafu na kuwauliza waamini wake kuwa sarafu ile ina picha ya nani? Nao wakajibu ina picha ya Kaisari, basi akawajibu kuwa. "Ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu,

Wakati huo huo tunasoma yakuwa, mali na dhahabu na vitu vyote viijazavyo dunia ni mali ya Mungu,



Hivi pesa ni mali ya nani?????
 
Nashindwa kujua, hivi pesa ni mali ya nani?

Katika maandiko matakatifu tunasoma yakuwa Yesu alinyanyua sarafu na kuwauliza waamini wake kuwa sarafu ile ina picha ya nani? Nao wakajibu ina picha ya Kaisari, basi akawajibu kuwa. "Ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu,

Wakati huo huo tunasoma yakuwa, mali na dhahabu na vitu vyote viijazavyo dunia ni mali ya Mungu,



Hivi pesa ni mali ya nani?????

Pesa ni mali ya Serikali......
 
Ulishawahi kuona picha ya Mungu au ya Shetani kwenye pesa???

Matumizi yake ndio yatakobainisha unatumia Pesa kumuabudia nani.....
 
.,mkuu mbona umejibu kuliko hata mchungaji,mpeni Mungu yaliyoyake Mungu,na kaisari yaliyo ya kaisari, tatizo lipo wapi hapo...?
 
.,mkuu mbona umejibu kuliko hata mchungaji,mpeni Mungu yaliyoyake Mungu,na kaisari yaliyo ya kaisari, tatizo lipo wapi hapo...?

Jibu hilo la Yesu lilifuatiwa baada ya kuionyesha sarafu ya kaisari
 
For christian mnaikumbuka hii,
Ya kaisari mpeni kaisari na vya Mungu mpeni Mungu.
So pesa ni mali ya kaisari.
 
Kwa wakristo, refer kitabu cha Hagai 2:8 'Fedha ni yangu, na dhahabu ni yangu,' asema Yehova wa majeshi. Kuhusu habari ya Yesu kuwajibu Mafarisayo na Makuhani alipoulizwa kwa habari ya fedha, ikumbukwe kuwa hapo walikuwa wakimtega Yesu kama ni halali kulipa kodi ama la, na Yesu akajibu kuwa ya Kaisari (kodi) mpe Kaisari na ya Mungu (dhabihu-sadaka) apewe Mungu.
 
Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko, Na divai huyafurahisha maisha; Na fedha huleta jawabu la mambo yote. Mhubiri 10:19
 
Pesa siyo ya mungu wala ya shetwani. Ni exchange medium iliyobuniwa na mwanadamu ili kurahisisha maisha. Ni rahisi sana kubeba sh laki moja kwa ajili ya kwenda kununulia simu kuliko kujitwika beberu...
 
Nashindwa kujua, hivi pesa ni mali ya nani?

Katika maandiko matakatifu tunasoma yakuwa Yesu alinyanyua sarafu na kuwauliza waamini wake kuwa sarafu ile ina picha ya nani? Nao wakajibu ina picha ya Kaisari, basi akawajibu kuwa. "Ya Kaisari mpeni Kaisari, na ya Mungu mpeni Mungu,

Wakati huo huo tunasoma yakuwa, mali na dhahabu na vitu vyote viijazavyo dunia ni mali ya Mungu,



Hivi pesa ni mali ya nani?????

ni mali yetu sote hasa binadamu na sio ngedere hivyo tambua kuwa ni yako na ndio maana ukiwa nazo utasikia flan anahela hawasemi fisi anaela
 
Back
Top Bottom