KAJICHO KIVULI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,061
- 546
Its true
Jamani haya mambo ya kusema dini yangu ni bora kuliko yako huleta mfarakano na chuki pamoja na kuanza kumkufuru mungu na mitume wake,tena mabishano ya dini huwa hayana mshindi kwani hakuna atakaekubali kushindwa,ni vizuri tukafahamishana kistaarabu na kimaandiko.
God bless u all.