Pesa ni hatari sana

Pesa ni hatari sana

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
MCHUNGAJI alikuwa
anawaombea waumini wake
akauliza;
MCHUNGAJI: Wangapi
wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee.....hakuna
aliyeinua mkono. Pedeshe
mmoja akapita mbele na
kupanda madhabauni na
kutangaza
PEDESHE: Jamani mchungaji
anasema wanaotaka kuokoka
wanyanyue mikono juu
jamani.....mtoto mmoja peke
yake akanyanyua mkono,
pedeshe akatoa laki tatu
mfukoni akampa yule mtoto.
PEDESHE: Haya jamani
ninaomba nirudie tena
niwaombe wanaotaka kuokoka
wanyooshe mikono juu ili
Mchungaji atuombee.....watu
wote wakanyanyua mikono
juu, Pedeshs akamgeukia
Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae
kanyanyua mkono juu.
 
kwa hiyo pesa siyo hatari bali ni sabuni ya roho ambayo inarahisisha mambo.
 
Teh, teh, ...Wachungaji wengi wapo after money!
 
Ndio dini za kutengenezwa na wanadamu zilivyo, ni maslahi kwa kwenda mbele.
Alhamdulilah kwa kuwa muislam, hakika najivunia kuwa katika dini ya HAKI.
 
MCHUNGAJI alikuwa
anawaombea waumini wake
akauliza;
MCHUNGAJI: Wangapi
wanataka kuokoka inueni
mikono niwaombee.....hakuna
aliyeinua mkono. Pedeshe
mmoja akapita mbele na
kupanda madhabauni na
kutangaza
PEDESHE: Jamani mchungaji
anasema wanaotaka kuokoka
wanyanyue mikono juu
jamani.....mtoto mmoja peke
yake akanyanyua mkono,
pedeshe akatoa laki tatu
mfukoni akampa yule mtoto.
PEDESHE: Haya jamani
ninaomba nirudie tena
niwaombe wanaotaka kuokoka
wanyooshe mikono juu ili
Mchungaji atuombee.....watu
wote wakanyanyua mikono
juu, Pedeshs akamgeukia
Mchungaji ili awaombee
akakuta na mchungaji nae
kanyanyua mkono juu.

Ulipaswa kuanzisha hii mada jukwaa la jokes na sio humu.Hata hivyo umenichekesha sana japo kuwa umeniuzi.hah hahhah
 
Ndio dini za kutengenezwa na wanadamu zilivyo, ni maslahi kwa kwenda mbele.
Alhamdulilah kwa kuwa muislam, hakika najivunia kuwa katika dini ya HAKI.

Hapana! Uko kwenye dini ya ugaidi(satanic verses). Hujijui tu!
 
Ndio dini za kutengenezwa na wanadamu zilivyo, ni maslahi kwa kwenda mbele.
Alhamdulilah kwa kuwa muislam, hakika najivunia kuwa katika dini ya HAKI.

Dini ya haki ya kuwanyima haki ya kuishi wengine, dini ya kulazimisha watu waikubali kwa hila. Nikigundua kuwa ukristo si dini ya kweli ni bora niwe mpagani, nifuate imani za mababu kuliko kuwa muisilam.
 
Ndio dini za kutengenezwa na wanadamu zilivyo, ni maslahi kwa kwenda mbele.
Alhamdulilah kwa kuwa muislam, hakika najivunia kuwa katika dini ya HAKI.
Imani ya mtu tu, yule sheikh jongo alie lia bunge la Katiba , unafkiri kalilia nn yule
 
Jamani haya mambo ya kusema dini yangu ni bora kuliko yako huleta mfarakano na chuki pamoja na kuanza kumkufuru mungu na mitume wake,tena mabishano ya dini huwa hayana mshindi kwani hakuna atakaekubali kushindwa,ni vizuri tukafahamishana kistaarabu na kimaandiko.
God bless u all.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom