Pesa mbili

Pesa mbili

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2011
Posts
566
Reaction score
83
Jamani nisaidieni kama kuna nchi ambayo inatumia pesa mpya na za zamani kwa wakati mmoja,hasa yanini kuchapa mpya wakati za zamani zipo kwenye mzunguko?angalia hiyo noti na uchakavu wake mnipe maoni yenu
 

Attachments

  • scan0003.jpg
    scan0003.jpg
    28.5 KB · Views: 197
sijui kwann hizi noti mpya zinachakaa ajabu yaani wametoa afadhali wameweka potelea mbali!
 
Mimi huwa napokea noti hizo kwa kinyongo sana wala huwa sipendi kukaanazo kabisa nazinunulia kitu hapohapo.
 
Hayo ndio mambo ya wazee wa "uchumi wa Tanzania unakua kwa asilimia ....."
 
Hii nchi ni kichwa cha mwendawazimu, kila mtu anajifunzia kunyoa!!!
 
Nchii hii ina wanasiasa uchwara, wanauchumi uchwara na wanamipango uchwara wewe unategemea nini kama si uchwara?
 
Back
Top Bottom