Habari ya jioni wakuu
Natumaini nyote niwazima
Mimi nlikua naswali kidogo naliwaza..... Wakati naendelea kutafuta majibu ndipo nlipokumbuka darasa langu pendwa la jamii forum
Swali langu je ni nani anaetengeneza pesa.... Na baada yakutengenezwa hupewa nani au huingizwa vipi kwenye mipangilio ya matumizi... Na hutengenezwa kwa utaratibu upi... Na nani anaetoa utaratibu wakuzitengeneza
Kwnini anaetengeneza asitengeneze nyingi azimwage tuu
(najaribu kuwaza)
Je kunasheria yoyote ya pesa!?
Natanguliza shukrani kwa elimu mtakayo nipa
Natumaini nyote niwazima
Mimi nlikua naswali kidogo naliwaza..... Wakati naendelea kutafuta majibu ndipo nlipokumbuka darasa langu pendwa la jamii forum
Swali langu je ni nani anaetengeneza pesa.... Na baada yakutengenezwa hupewa nani au huingizwa vipi kwenye mipangilio ya matumizi... Na hutengenezwa kwa utaratibu upi... Na nani anaetoa utaratibu wakuzitengeneza
Kwnini anaetengeneza asitengeneze nyingi azimwage tuu

(najaribu kuwaza) Je kunasheria yoyote ya pesa!?
Natanguliza shukrani kwa elimu mtakayo nipa
