MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,450
- Thread starter
- #21
Kuyajua hayo yote mkuu uko parefu. Najua unaweza kutudodosa machache ila shida ukisema tu hii nyumba itabomolewa sekunde chache tusije tukalowa masika hiiHalafu wana mtandao wao serikalini na mratibu mkuu ni waziri ambaye ni professor na katibu ni rafiki yangu ni Dr. wa linguistic UD. Ila sijui kama wamo humu maana wanaweza kunishtukia.
