Pesa bado ipo

Pesa bado ipo

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
783
Kwa hizi sikukuu malalamiko ya kuwa pesa hamna me nabisha nilikuwa pale moshi foleni ilivyokamata moshi mjini sheli zimejaa foleni. Barabarani foleni tupu wakati narudi magari yamejaa watoto.....harafu tunasema hela hamna. Ukiwa huna hela ni wewe tu. Kama mtz anatoa gari dar to kagera harafu watz tunalalama tunamuonea mungu
 
Duhhh.....[emoji15] [emoji15]
Chidy Benz amefanya kolabo na 2Pac....[emoji47] [emoji47] [emoji47]
 
Kwa hizi sikukuu malalamiko ya kuwa pesa hamna me nabisha nilikuwa pale moshi foleni ilivyokamata moshi mjini sheli zimejaa foleni. Barabarani foleni tupu wakati narudi magari yamejaa watoto.....harafu tunasema hela hamna. Ukiwa huna hela ni wewe tu. Kama mtz anatoa gari dar to kagera harafu watz tunalalama tunamuonea mungu
IMG-20171229-WA0005.jpg
 
Kwa hizi sikukuu malalamiko ya kuwa pesa hamna me nabisha nilikuwa pale moshi foleni ilivyokamata moshi mjini sheli zimejaa foleni. Barabarani foleni tupu wakati narudi magari yamejaa watoto.....harafu tunasema hela hamna. Ukiwa huna hela ni wewe tu. Kama mtz anatoa gari dar to kagera harafu watz tunalalama tunamuonea mungu
mkuu, hivi hujui mtu aliye na frastesheni zake huwaga anakwenda bar na kunywa bia za elfu 20 hata kama hiyo ndiyo balansi yake ya mwisho mfukoni?
 
Ujue kulalamika pesa haipo ni kitu relative.

Hata Bill Gates anaweza kulalamika mwaka huu hakupata pesa. Pesa haipo. Katoka kuwa tajiri wa kwanza wa dunia sasa kapitea na Jeff Bezo kawa wapili.
 
Back
Top Bottom