Ha yani nimesoma hii post mpaka computer yote nasikia inanukia pafyum
Penelope, if this is true and not a joke, yaani haya usemayo kama ni kweli uliposoma, umesikia harufu fulani ya perfum, then you have powers zinazoitwa PSI za smell, hizo zinatokana na PSI Powers, ni nguvu za ajabu zinazoitwa wengine huziita parapsychology inspiration, yaani mind yako ina uwezo wa kupokea imaginary signals ukaziconvert into reality, yaani "mind sugestibilitly"
Hizi powers zimegawanyika makundi mbalimbali kama
Clairvoyance -wale wanaowasiliana na the dead ones, huku kwetu wanajifanya kutumia mizimu au kupandisha mashetani.
Electrokinesis- ni uwezo wa kutengeneza au ku kontroll electric curent, kuzima taa, kuwasha, au kumove kitu chochote kinachotumia umeme bila kukigusa.
Precognition - ni uwezo wa kuona au kujua jambo litakalo tokeo mbeleni, huku wenye nguvu hizi huitwa watabiri, baadhi ya mashirika makubwa ya ndege likiwemo BA limewaajiri baadhi ya mabingwa hawa kutazamia usalama wa ndege zake, na wakiiona ajali kabla haijatokea hivyo hawarushi ndege!. Wayahudi ndio mabingwa zaidi wa hii kitu, ile siku ya September 11, maelfu ya Jews waliokuwa wakifanya kazi Twin Towers, hawakwenda kazini na wakastuana wote!.
Telekenisis (also called psychokinesis) - ni uwezo wa kutumia powers of mind to perform physical action kama kupinda vyuma, vijiko etc, wanaitwa "metal benders" Myahudi Uri Geller, alipindisha kijiko cha zawadi kwenye royal wedding ya Prince Charles na Lady Di!.
Telepathy- ni kuwasiliana kwa kutumia mind, mfano unafika mahali, watu wanakuambia "hufi, sasa hivi tulikuwa tunakutaja!", au wakati unatembea unapotaka kupishana na mtu kwa upande huu nae anakuja upande huu, ukirudi huku na e anarudi huko, mpaka mnakaribia kugongana!. Au unafika mahali, hujawahi kufika hata siku moja, ila unapoana kama mahali hapo ni mahala familia, yaani as if " I've been here before"!. au unakutana na mtu kwa mara ya kwanza, unajiona kama sura hiyo siyo ngeni! hii Wafaransa wanaita "De javu". Kwa kawaida watu ambao wako very close "spiritually wana mawasiliano kama haya mfano identical twins, true lovers, yaani wewe na mpenzi wako samotimes sio lazima aseme anataka, utajua tuu na mwili unajitayarisha hata kabla hajafika!. Ua jambo lolote baya likitokea kwa close family member, unajikuta uko restless or feeling low!, then bad news inakuja!. Mind readers ni branch ya telepathy, mtu kujua unachowaza, au sometimes mtu akisema uwongo, unamjua tuu!. Powers hii ni muhimu sana haswa kwa mwanamke!. Mwanaume akikutokea kwa lengo la kukupitia tuu, japo atakuja kwa gia ya kukupenda, utamjua tuu!. Yaani listerning from your self, utaujua ukweli. Ukiidevelop hii, siku ukipita kona, mwenzio atajua tuu japo hata kuuliza!.
Teleportation -ni uwezo wa ku move physical things kwa kutumia mind, baadhi wenye uwezo huu huutumia kuiba vitu vya thamani kama pesa "chuma ulete", ukiwa na cashi nyingi, fedha zinachomolewa kiana wewe unashtuka umetumia kidogo, zimeisha, au ulipoweka zinapungua!, vitu kama jewels vina dis apea kimiujiza etc.
Kila binadamu anazaliwa na powers hizi, zina matumizi mazuri zikitumiwa vizuri, ndio hawa mnao waona wanatibu watu, waganga maarufu, wachungaji wafanya miujiza, wahubiri wanaofanya uponyaji, watabiri, wavumbuzi na ma genius wote its all works of powers, zile secret societies zote wakiwemo "freemosons" wanafundishana siri za matumizi ya powers hizi kupata mafanikio!.
Zkitumiwa vibaya ndia hawa wanaojiita wachawi, wanga, majini, mashetani, evil spirits etc!. Mfano kuna mtu ukimuudhi, akikasirika tuu, kesho huamki!. Kuna watu wana midomo michafu, akisema jambo baya linakutokea!.
Mimi binafsi, usafiri wangu siku zote for the past 15 years ni piki piki, "big bikes" huwa naenda nayo popote, Dar-Arusha-Nairobi etc. Wakati wa maonyesho ya Nane Nane yalipokuwa Viwanja vya Themi Hill Arusha, nimepiga nayo to and fro. Yalipohamishiwa Morogoro kwa miaka mitatu mfululizo, nilikuwa nafanya dailky trip, Dar-Moro-Dar kila siku, yaani nalala Dar, asubuhi naenda Moro, natumia 1:45 minutes njiani na siku zote nilikuwa salama!.
Maonyesho yalipohamia Dodoma, by then nilianza new relationship na partner asiependa piki piki, akaanza mahubiri ya kila siku "piki piki hatari!, utapata ajali", mimi kila siku nilipuuza!. Ulipotimu muda wa Nane Nane Dodoma, mimi nikaamua kama kawa!, akanikataza kata kata!, mimi sikusikia nikatimka, kwa kawaida Dar-Dom kwa big bike ni masaa 3:30-4. Nika piga bike gear yangu, moto na moto wake kuelekea Dodoma!. Kwani nilifika!- Kilichofuatia ni historia!.
P.