kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Wana JF,
Ikumbukwe kwamba mimi ni mwanaharakati wa kujitegemea kutoka katika ambaye kwetu CCM ni chama cha upinzani kama ilivyo CUF Unguja na CCM Pemba.
Niko huku Ruvuma kueneza falsafa na itikadi za CHADEMA.
Nilikuwa katika maandamano ya 22/02 ambapo nilipigwa na askari kipigo cha mwizi lakini nasema bado MAPAMBANO YANAENDELEA.
Juzi pia nilihudhuria maandamano 'kamata mwizi' kudai umeme kwa Wanasongea.
Leo nimefunga safari kwenda Peramiho kusoma upepo huku nikiwa nimetupia gwanda langu kama utambulisho. Nikikutana na watu ni 'peoples power'; nikasema ya Arumeru yamefika Peramiho? Raia wa kule wameniambia kwamba wanasubiri sana ujio wa Heche.
Nimekuta watu wakisoma Tanzania Daima. Pia nimekuta bendera ya Chadema ikipepea maeneo mbalimbali.
Picha zinakuja.
Nawasilisha.
Kuku dume- kokolikooooo
Ikumbukwe kwamba mimi ni mwanaharakati wa kujitegemea kutoka katika ambaye kwetu CCM ni chama cha upinzani kama ilivyo CUF Unguja na CCM Pemba.
Niko huku Ruvuma kueneza falsafa na itikadi za CHADEMA.
Nilikuwa katika maandamano ya 22/02 ambapo nilipigwa na askari kipigo cha mwizi lakini nasema bado MAPAMBANO YANAENDELEA.
Juzi pia nilihudhuria maandamano 'kamata mwizi' kudai umeme kwa Wanasongea.
Leo nimefunga safari kwenda Peramiho kusoma upepo huku nikiwa nimetupia gwanda langu kama utambulisho. Nikikutana na watu ni 'peoples power'; nikasema ya Arumeru yamefika Peramiho? Raia wa kule wameniambia kwamba wanasubiri sana ujio wa Heche.
Nimekuta watu wakisoma Tanzania Daima. Pia nimekuta bendera ya Chadema ikipepea maeneo mbalimbali.
Picha zinakuja.
Nawasilisha.
Kuku dume- kokolikooooo