pera

ili kukabiliana na mgawo wa umeme 2meamua kuwaletea mabwawa ya kukodisha
 
sasa hivi umeme issue kubwa baada ya kukata kwa masaa kumi na mbili wakirudisha wanarudisha kwa 30min only wanakata hiyo ujue kesho saa kumi na mbili tena kesho yake!!! maji yamefika shingoni nchi inadidimia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom