Wilayani 200,000 na manispaa na majij 500,000.
Kwa mfano tanroads salary scale 4.1-6.1 wilayani 80,000/= Manispaa na jiji 100,000
Wilayani 200,000 na manispaa na majij 500,000.
hiyo mishahara mbona midogo? mnawezaje kumudu kweli
hiyo mishahara mbona midogo? mnawezaje kumudu kweli
Unakumbuka waheshimiwa bungeni wakiandika jina tu wanalipwa kiasi gani?Huu ni unyonyaji wa mchana kweupe. Kwa kazi gani watumishi wa uma wanayoifanya hadi walipane hayo mapesa mengi namna hiyo? Halafu bado mnaimba nchi ni maskini wakati kuna hili kundi la wanaotuibia pesa zetu
Per diem ndiyo nini? Wengine tumejiajiri
hiyo 80,000 inamtosha mtu kweli? labda kama ni kwa siku