PEP inapatikana wapi?

PEP inapatikana wapi?

Msipende kila kitu kukiendesha kwa connection, hadi PEP za bure mnataka kuzipata kwa connection?
Nenda kwenye health facility yoyote ile.
PEP anatakiwa aipate ndani ya masaa 72.
Halafu mbona siku hizi kuna PREP?
Mkuu nimetembelea Uzi wote nikidhani nitaambulia maana ya hyo PEP holaa. Nini maana yake? Na hiyo PREP?
 
Mkuu nimetembelea Uzi wote nikidhani nitaambulia maana ya hyo PEP holaa. Nini maana yake? Na hiyo PREP?
PEP - Post Exposure Prophylasis.

Kwa ajili ya watu ambao wamekutana na mazungira hatarishi yanayoweza kupelekea maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Mfano, kumwagikiwa damu ambayo haikupimwa au iliyopimwa na kukutwa Virus vya UKIMWI.
Kuji prick, (kujichoma sindano) wakati wa either kuchukua damu ya muathirika au sindano iliyotumia kwa muathirika.

PrEP - Pre Exposure Prophylasis

Hizi ni dawa kinga. Hunywewa kabla ya kujilipua. Ni dawa zinatumiwa na watu ambao hawataki kuvaa condom wala hawataki kujua status ya mtu. Baada ya kupata ushauri wa kitaalam, ukitumia hizi dawa unaweza ukawa unauza mechi bila wasiwasi na maambukizi haupati.
 
PEP - Post Exposure Prophylasis.

Kwa ajili ya watu ambao wamekutana na mazungira hatarishi yanayoweza kupelekea maambukizi ya Virusi vya UKIMWI. Mfano, kumwagikiwa damu ambayo haikupimwa au iliyopimwa na kukutwa Virus vya UKIMWI.
Kuji prick, (kujichoma sindano) wakati wa either kuchukua damu ya muathirika au sindano iliyotumia kwa muathirika.

PrEP - Pre Exposure Prophylasis

Hizi ni dawa kinga. Hunywewa kabla ya kujilipua. Ni dawa zinatumiwa na watu ambao hawataki kuvaa condom wala hawataki kujua status ya mtu. Baada ya kupata ushauri wa kitaalam, ukitumia hizi dawa unaweza ukawa unauza mechi bila wasiwasi na maambukizi haupati.
Shukran sana mkuu
 
Members, kuna emergency imetokea mdau wangu anahitaji PEP kuna mahala kaharibu kazi. Yuko Tabora mjini. Anazipata wapi au kama kuna yoyote anaweza msaidia kupata huu msaada. 4 hours tangu tukio litokee.
Mkuu, habari!

Fika katika hospitali yoyote ya serikali utapatiwa. Ni huduma isiyo na malipo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom