"Peoples Power"

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
38,561
Reaction score
48,910
Slogan ya CDM ya peoples power, inanipa picha halisi ya hao "people" ni kina nani...maana nilijaribu kupata tafsiri yake mpaka hivi majuzi kuja kugundua kuwa...

"people" ndio hao viongozi wa chama wenyewe...

Maana:

Safari za majuu , wanakwenda wao na wake zao... hao "people" sijawaona....

Majumba ya kifahari wanajenga wao.... hao "peoples" hawaonekani katika hayo..

SO:

Movement nzima na dhana halisi ya M4C na kauli mbiu ya "peoples power" Kwa tafsiri nyingine peoples power ni "power for ourselves"

Ni kujinufaisha binafsi wao wenyewe, na si kwaajili ya ukombozi wa watanzania.....

Wakombozi pekee na ambao watabakia kua wakombozi wa watanzania ni CCM...
 
Njaa mbaya yaani unadanganya mchana kweupeeee ili upate kuingizwa kwenye malipo ya Buku 7. Sasa usipo ingizwa sijui utakwenda kuuza nyago?
 
Njaa mbaya yaani unadanganya mchana kweupeeee ili upate kuingizwa kwenye malipo ya Buku 7. Sasa usipo ingizwa sijui utakwenda kuuza nyago?
nimejaribu sana kujiuliza hao people ni kina nani, lakini sasa sipati tabu tena, hao people wanaonekana kwa vitendo vyao...
 
Wakati mwigulu nchemba akitumia pesa za wauza unga(wafadhiri wa ccm) eti kufungua matawi marekani na uk,imebainika kuwa matawi ya ccm tz mengi yamebakiza wafuta vumbi maofisini sababu wanachama wengi wamekihama chama hicho.ccm inawapumbaza wanaccm wao kwa kisingizio cha kufungua matawi kumbe ni kutokana na ziara za viongozi wa chadema ambazo zinazaa matunda kwa kupata wahisani wengi tu.
Chadema dr slaa yuko marekani akizungukia taasisi muhimu sana za kukitangaza chama na kuzidi kupata wahisani toka usa.mbowe alikuwa denmark moja ya wafadhiri wakubwa wa chama hcho.
Amani golungwa alikuwa uk kwa mualiko wa conservative amabao wamehaidi kukichangia chama hicho takribani pound 1.2million na wiliam hague amevutiwa na sera za chama hicho. Kuonesha chadema ikiingia madarakani tz itarudisha uhusiano wa makampuni kama landrover,massey fugurson na makampuni mengi ya ujenzi.
Ccm na mwigulu wao ni kuwapikia chapati na pilau wale watanzania wanaotegemea benefit kutoka uk ili wawepo kwenye vikao vyao.
 

Umemaliza kuharisha....
 

mkuu, kwani wewe hawa jamaa hujawashrukia tu? hawa wanatuhadaa tu wananchi. hawawezi kututumia tu kama mipira ya uzazi.
 
ngoja baba yenu aje toka majuu tuone kama ofisi haijafungwa kutokana na mtikisiko wa kiuchumi, we unafikiria izo per diems ni mchezo, halafu na misafara ya walinzi binafsi...hizo gharama si ndogo ndugu...
 

Jamaa we ni kilaza halafu next tym its better to shut up and be thought as a fool than to speak and remove all the doubts ...
 
Hivi baba mwana asha unaendaga nae sio? Tambua maana ndogo ya kiongozi ni nani? sio kuendeshwa na tumbo, unafikiria kwa tumbo?
 
Jamaa we ni kilaza halafu next tym its better to shut up and be thought as a fool than to speak and remove all the doubts ...

Mkuu hiyo ni product ya kata.sidhani kama amekuelewa....Ungejaribu kutumia lugha ya Taifa..
 
nimejaribu sana kujiuliza
hao people ni kina nani, lakini sasa sipati tabu tena, hao people
wanaonekana kwa vitendo vyao...

mkuu, people ni wale wenye haki uwezo wa kujikopesha fedha za ruzuku kwa kiwango wanajiamua wao
 

Yale yale ya hoja dhaifu za kuzungumzia vitu ambavyo havina hata manufaa kwa taifa. Sasa hapa unataka kumaanisha nini mkuu? Au unataka kuaminisha uma kuwa safari za viongozi wetu wa CCM huwa wanatubeba na sisi wanachama wao? Sidhani kama kila mwanachama wa chama fulani basi na yeye natakiwa aende kila sehemu wanazosafiri viongozi wa chama. Jamani tuacheni ushabiki wa vyama na tuizungumzie nchi yetu Tanzania tutaikwamua vipi hapa ilipofikia.
 
Ujinga na upumba.vu wa namna hii ccm utaisha lini? Kweli wajinga na waongo wako ccm.Yaani umeamua kudanganya mchana kweupe kabisa,kweli ccm=uchawi
 
Mbona mwigulu anakwenda peke yake huko ugaibuni? Vipi juliana shonza mbona kaachwa? Ccm ni hatari kuliko watanzania wengi wanavyofikiri...
 

naona umelewa baada ya kunywa ID yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…