newmzalendo JF-Expert Member Mar 23, 2009 1,378 550 Aug 2, 2012 #1 Leo ,dogo hapa home kaniacha mdomo wazi, nafika anasema PIPOZ PAWA, ana umri wa mwaka 1 na nusu tu anasoma vidudu/day care, nahisi mwalimu wao anawafundisha itikadi za chadema. hii imenikumbusha miaka ya enzi zetu za chipukizi.
Leo ,dogo hapa home kaniacha mdomo wazi, nafika anasema PIPOZ PAWA, ana umri wa mwaka 1 na nusu tu anasoma vidudu/day care, nahisi mwalimu wao anawafundisha itikadi za chadema. hii imenikumbusha miaka ya enzi zetu za chipukizi.