Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,380
Sisi wapiga ramli na mandundame hata salary scale hatuna
So sad...kwa hiyo ni kuonekana tu? Bado benki zote kumbe hazina salary nzuri. Na hao PBZ na wenzao wamezidi mno...!Nina washikaji zangu wengi
TPB wanalipwa 925,000 starting kwa bachelor
NMB 918,000
CRDB ndo afadhali ni 1,025,000
EQUITY BANK Ni 968,000 bachelor
Ila waliobaki ni hovyo sana
Access 400,000
PBZ NI 400,000
Hatari
Lakini bado wana branches huku Bara.Maisha yako chini Zanzibar zinatosha usimlinganishe Na huko kwako
Mtoa mada achana na hao wanaokuambia kuhusu PBZ wanalipa laki nne, Hiyo laki nne pale ni internship tena bila kujali level ya Elimu yako, Kuna branch ukikaa unapata posho mpaka million tano kwa wiki tatu au mwezi inategemea na safari.
Exactly amount wanaolipwa siwezi kutaja hapa but ndio hivo, Alafu ukiajiriwa kama benki ofisa unaweza baadhi ya siku kupewa kazi ya teller ambayo allowance yake 300k
Acha kudanganya watu , hata benk kuu hapati posho hiyo, kumbuka watu tumefanya kazi benk kwa miaka kadhaaMtoa mada achana na hao wanaokuambia kuhusu PBZ wanalipa laki nne, Hiyo laki nne pale ni internship tena bila kujali level ya Elimu yako, Kuna branch ukikaa unapata posho mpaka million tano kwa wiki tatu au mwezi inategemea na safari.
Exactly amount wanaolipwa siwezi kutaja hapa but ndio hivo, Alafu ukiajiriwa kama benki ofisa unaweza baadhi ya siku kupewa kazi ya teller ambayo allowance yake 300k
Dah haya maisha...laki nne?..Pale hakuna hela PBZ wanalipwa laki 4 ni sawa na Access na Amana Bank
Labda kwa kuwa hatujuani lakini kwa kweli PBZ teller analipwa vizuri, Ana posho safi.Acha kudanganya watu , hata benk kuu hapati posho hiyo, kumbuka watu tumefanya kazi benk kwa miaka kadhaa