mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Mi mwenyewe mfuga njiwa tu hapa mjini boss.Mimi ni jobless jombaa hizo per diem nasikiaga tu
Mi mwenyewe mfuga njiwa tu hapa mjini boss.Mimi ni jobless jombaa hizo per diem nasikiaga tu
Wewe benki ndogo mtu anakuwa Na role nyingi waweza kuta yeye ndio teller ,afisa mikopo Na customer care officer.Hizo kazi zingine ndizo wanampa posho Na gari sababu kama officer mikopo anatakiwa kwenda field na kupunguza gharama hawaajiri dereva.Benki ndogo mtu anakuwa Na roles nyingi Na benefits zipo nyingi japo mshahara ni mdogoWe jamaa sijui hata kama umewahi kuajiriwa wewe?
Entry level position hizo benefits zinatoka wapi?eti safari za nje teh teh
Endelea kula buku 7 hapo lumumba.
We ongea theories tu kama mlivyozoea kutudanganya.iWewe benki ndogo mtu anakuwa Na role nyingi waweza kuta yeye ndio teller ,afisa mikopo Na customer care officer.Hizo kazi zingine ndizo wanampa posho Na gari sababu kama officer mikopo anatakiwa kwenda field na kupunguza gharama hawaajiri dereva.Benki ndogo mtu anakuwa Na roles nyingi Na benefits zipo nyingi japo mshahara ni mdogo
Ukiandika humu umeenda Thailand tuamini? Haya sasa hivi mimi Niko kwenye ndege naelekea UswisiWao wanapewa safari za nje mkuu. Mwenzake anaebishana nae katoka Thailand juzi jioni.
Sawa mkuu ila kipindi hiki cha winter sio kizuri kutalii nchi hizo.Ukiandika humu umeenda Thailand tuamini? Haya sasa hivi mimi Niko kwenye ndege naelekea Uswisi
Benki za nje attachment mbona kawaida mkuu usilinganishe Na zisizo na Branch nje ya nchi! Officer wa Access bank Tanzania aweza kwenda Ghana or Nigeria kimafunzo and give versaWe ongea theories tu kama mlivyozoea kutudanganya.
Afisa mikopo/customer care officer/teller anapewa safari za nje teh teh,ulale upunguze wenge aisee.
Benki za nje attachment mbona kawaida mkuu usilinganishe Na zisizo na Branch nje ya nchi! Officer wa Access bank Tanzania aweza kwenda Ghana or Nigeria kimafunzo and give versa
Na by the way unadhani kuwekewa mafuta kwny gari na kutumwa field ni kitu cha kujivunia sio?iWewe benki ndogo mtu anakuwa Na role nyingi waweza kuta yeye ndio teller ,afisa mikopo Na customer care officer.Hizo kazi zingine ndizo wanampa posho Na gari sababu kama officer mikopo anatakiwa kwenda field na kupunguza gharama hawaajiri dereva.Benki ndogo mtu anakuwa Na roles nyingi Na benefits zipo nyingi japo mshahara ni mdogo
Nina washikaji zangu wengi
TPB wanalipwa 925,000 starting kwa bachelor
NMB 918,000
CRDB ndo afadhali ni 1,025,000
EQUITY BANK Ni 968,000 bachelor
Ila waliobaki ni hovyo sana
Access 400,000
PBZ NI 400,000
Hatari
Nina washikaji zangu wengi
TPB wanalipwa 925,000 starting kwa bachelor
NMB 918,000
CRDB ndo afadhali ni 1,025,000
EQUITY BANK Ni 968,000 bachelor
Ila waliobaki ni hovyo sana
Access 400,000
PBZ NI 400,000
Hatari
MtaaLumumba ni Bank?
Mzee baba vice versa is true! Mishahara ndio ipo chini ila maisha hayapo chini kaka! Sehemu idadi ya vitu vingi vinapimwa kwa mzani afu maisha chini imagine Nyanya Kilo 1 elfu 1800 kwa bara hapo unapata zaidi. huo ni mfano tu wazanzibar wanaelewa hiloMaisha yako chini Zanzibar zinatosha usimlinganishe Na huko kwako
wapi huko kwenye hizo posho tuje..?Usiangalie mshahara tu kuna miposho pia.Unakuta mshahara mdogo posho kibao nyumba bure ,unapewa gari la ofisi posho ya mafuta ya gari nk . Safari za nje kibao,nk
Vipi boa bank?Nina washikaji zangu wengi
TPB wanalipwa 925,000 starting kwa bachelor
NMB 918,000
CRDB ndo afadhali ni 1,025,000
EQUITY BANK Ni 968,000 bachelor
Ila waliobaki ni hovyo sana
Access 400,000
PBZ NI 400,000
Hatari
ni dili la ku kuuzia Pumba za njiwa kamandaMi mwenyewe mfuga njiwa tu hapa mjini boss.
Hadi anafika kupata kazi nadhani mwachie hilo jukumuHapana nataka kufanya comparison between two institutions ambazo mdogo wangu amepata kazi