Mr.Duttu
Member
- Nov 7, 2015
- 91
- 57
Jamani wana jamii naombeni ushauri wenu,
Nina mpenzi wangu ambaye nimedumu nae katika mahusiano nae kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5, pindi tunaanza mahusiano yeye ndo alinitaka mimi kimapenzi ila mimi nilikuwa na lengo moja tu la kusex na yeye kisha nimuache kwa kuwa sikumpenda kwa dhati toka moyoni mwangu.
Lakini baada ya kusex tuu basi akawa ananiganda sana kiasi kwamba nikawa nashidwa kumu escape maana alikuwa ananipa vitu mbalimbali kama fedha na kadhalika, kwakuwa nilikuwa sina kipato chochote basi nikajikuta na endelea kuwa nayeye kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5 lakini kinachonishinda kwa mwanamke huyu,kila napofanya naye sex napata mikosi tuu ya kimaisha.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyeje nimechoka na mikosi nayoipata kutokana na penzi la uyo mwanamke?
Nina mpenzi wangu ambaye nimedumu nae katika mahusiano nae kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5, pindi tunaanza mahusiano yeye ndo alinitaka mimi kimapenzi ila mimi nilikuwa na lengo moja tu la kusex na yeye kisha nimuache kwa kuwa sikumpenda kwa dhati toka moyoni mwangu.
Lakini baada ya kusex tuu basi akawa ananiganda sana kiasi kwamba nikawa nashidwa kumu escape maana alikuwa ananipa vitu mbalimbali kama fedha na kadhalika, kwakuwa nilikuwa sina kipato chochote basi nikajikuta na endelea kuwa nayeye kimapenzi kwa muda wa zaidi ya miaka 5 lakini kinachonishinda kwa mwanamke huyu,kila napofanya naye sex napata mikosi tuu ya kimaisha.
Ndugu zangu naombeni ushauri wenu nifanyeje nimechoka na mikosi nayoipata kutokana na penzi la uyo mwanamke?