Yaani utatamani upeleke mbele kama zile unafungua kurasa za kitabu...
Nakuwish kabisa happy new year...lol
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Yani mim hata wa kwanza simjui
Umewahi kupenda? Mara ngapi? Umri wako? Jinsi?
Majanga
Naomba niwe mwanamke wa kwanza kupendwa na moyo wako.
Habari Za Usiku sana MMU. Hivi nikweli kwamba mtu hupenda Mara moja tu na mpenzi wa kwanza ni vigumu kumsahau?
unakaribishwa....ila ukiumia usinilaumu
Uuuh...nimeghairi gafla
ulikuwa wanienjoy
maranatha, naomba updates za mechi kati ya Arsenal na Chelsea usiku huu, plse!