Penzi la kwanza

Penzi la kwanza

yaap minaami hivyo coz mpz wakwanza ndo anakuwa kilakitu kama mwongozo wako.endapo atakusaliti utabaki unaamin kwamba jinsia hiyo wote ni wasaliti.na kama atakupenda kwa dhat kisha wewe ndo ukasababisha mtengane kila mpz mpya utakaye mpata utabaki kusema hakuna kama yule.akikukosea kidogo utaxema mbona yule hakuwa hivi...mtazamo tu..
 
huu mwaka umekuwa mreefu mno
hauishi kabisa..

Yaani utatamani upeleke mbele kama zile unafungua kurasa za kitabu...

Nakuwish kabisa happy new year...lol

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
yaap minaami hivyo coz mpz wakwanza ndo anakuwa kilakitu kama mwongozo wako.endapo atakusaliti utabaki unaamin kwamba jinsia hiyo wote ni wasaliti.na kama atakupenda kwa dhat kisha wewe ndo ukasababisha mtengane kila mpz mpya utakaye mpata utabaki kusema hakuna kama yule.akikukosea kidogo utaxema mbona yule hakuwa hivi...mtazamo tu..

My first bf left and I was so mad at him but I don't know why I can't forget him after all these years.
 
So wewe kila unayeanzisha naye mahusiano unampenda asilimia sawa na waliopita?

mie sijawahi kupenda kusema kweli...ila ninachojua u cn only truely love once. wengine infatuation au genye
 
Mie kwangu ni vice versa,wa kwanza nilimpenda sana huwa namsahau,ila wa pili mpaka ndiyo simsahau kabisa,tunapigianaje simu sasa?lols ten yrs imeshapita,HATUJASAULIANA,!!!!
 
Back
Top Bottom