RugambwaYT JF-Expert Member Joined Jan 11, 2014 Posts 1,435 Reaction score 2,009 Aug 10, 2015 #81 witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Hehehee! Kwa vijana wa siku hizi, hiyo ni kawaida saana. Tofauti na zamani mpaka upangwe kwenye one of the public holidays. Balaa ni pale uko January afu unaambiwa subiri mpaka X-mas.
witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Hehehee! Kwa vijana wa siku hizi, hiyo ni kawaida saana. Tofauti na zamani mpaka upangwe kwenye one of the public holidays. Balaa ni pale uko January afu unaambiwa subiri mpaka X-mas.