KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,569 Reaction score 21,078 Aug 3, 2015 #1 Penzi changa lina raha sana, nyakati tamu za kukumbukwa, candle light dinner, vijizawadi na vikwerombezwo vingine. Je,wewe unakumbuka nini kwenye mapenzi machanga?
Penzi changa lina raha sana, nyakati tamu za kukumbukwa, candle light dinner, vijizawadi na vikwerombezwo vingine. Je,wewe unakumbuka nini kwenye mapenzi machanga?
KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,569 Reaction score 21,078 Aug 3, 2015 Thread starter #2 lara 1, First Lady1 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
rubii JF-Expert Member Joined Feb 22, 2015 Posts 14,106 Reaction score 18,713 Aug 3, 2015 #3 First kiss
KING MIDAS JF-Expert Member Joined Dec 1, 2010 Posts 10,569 Reaction score 21,078 Aug 3, 2015 Thread starter #4 rubii said: First kiss Click to expand... linaambatana na aibu Fulani Hivi.... Lina msisimko na mizuka laki tano
rubii said: First kiss Click to expand... linaambatana na aibu Fulani Hivi.... Lina msisimko na mizuka laki tano
DONNGO JF-Expert Member Joined Jul 19, 2015 Posts 369 Reaction score 120 Aug 3, 2015 #5 Linaambatana na cku ya kwanza kuktana kimwli na kumtupia bao nyingi sana kuanzia 5 lkn bahada ya miezi bao moja nalo kupata kazi
Linaambatana na cku ya kwanza kuktana kimwli na kumtupia bao nyingi sana kuanzia 5 lkn bahada ya miezi bao moja nalo kupata kazi
Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,738 Reaction score 12,424 Aug 3, 2015 #6 umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say
umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say
witnessj JF-Expert Member Joined Mar 22, 2015 Posts 28,839 Reaction score 47,747 Aug 3, 2015 #7 peterchoka said: umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say Click to expand... Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya
peterchoka said: umenikumbusha diana wangu, nilimtia siku ileile alonipa jibu, kesho yake tena akaja, dah! likiwa changa tamu say Click to expand... Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya
Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,738 Reaction score 12,424 Aug 3, 2015 #8 witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... ni kwavile tu humjui dada mwenyewe, ilikuwa kama utani yaani, hata mwenyewe sikuamini kama ndo namla, the most beatiful lady ktk series yangu
witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... ni kwavile tu humjui dada mwenyewe, ilikuwa kama utani yaani, hata mwenyewe sikuamini kama ndo namla, the most beatiful lady ktk series yangu
stanleyRuta JF-Expert Member Joined Jul 19, 2014 Posts 851 Reaction score 529 Aug 3, 2015 #9 Tripu za Dar to Dodoma zilinihusu sana, hadi madereva wa SHABIBY karibia wananijua wote.........
Valentina R I P Joined Oct 12, 2013 Posts 24,688 Reaction score 28,834 Aug 3, 2015 #10 witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Kumbe kutiwa siku ya kwanza ni umaharage ya mbeya eeh
witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Kumbe kutiwa siku ya kwanza ni umaharage ya mbeya eeh
dont trust any 1 JF-Expert Member Joined Jun 30, 2015 Posts 250 Reaction score 207 Aug 3, 2015 #11 nakumbuka wakati nampiga kiss ck ya kwanza alitaka kudondoka baada ya hapo akawa yy ndo anaanza kunisogelea
nakumbuka wakati nampiga kiss ck ya kwanza alitaka kudondoka baada ya hapo akawa yy ndo anaanza kunisogelea
Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,738 Reaction score 12,424 Aug 3, 2015 #12 'Valentina' said: Kumbe kutiwa siku ya kwanza ni umaharage ya mbeya eeh Click to expand... akikujib niite
'Valentina' said: Kumbe kutiwa siku ya kwanza ni umaharage ya mbeya eeh Click to expand... akikujib niite
Kipilipili JF-Expert Member Joined May 25, 2010 Posts 2,272 Reaction score 1,898 Aug 3, 2015 #13 peterchoka said: ni kwavile tu humjui dada mwenyewe, ilikuwa kama utani yaani, hata mwenyewe sikuamini kama ndo namla, the most beatiful lady ktk series yangu Click to expand... Mtandao wako kabambe kama wa DAWASCO
peterchoka said: ni kwavile tu humjui dada mwenyewe, ilikuwa kama utani yaani, hata mwenyewe sikuamini kama ndo namla, the most beatiful lady ktk series yangu Click to expand... Mtandao wako kabambe kama wa DAWASCO
Mmanu JF-Expert Member Joined Feb 11, 2015 Posts 1,977 Reaction score 1,219 Aug 3, 2015 #14 Kama amekupa miadi ya kukutana secret area yaani hata chakula huoni kitamu na unashiba haraka sana kuliko kawaida
Kama amekupa miadi ya kukutana secret area yaani hata chakula huoni kitamu na unashiba haraka sana kuliko kawaida
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Aug 3, 2015 #15 nilivyopewa pesa nyingi
Kaputupu JF-Expert Member Joined Feb 1, 2014 Posts 1,486 Reaction score 1,179 Aug 3, 2015 #16 witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Hivi maharage ya mbeya yakoje mkuu...? Teh teh maana naona siku hizi maharage ya mbeya kuiva kwake ni shuhuri unaweza kumaliza gas
witnessj said: Haaa haaa eti diana wangu!.... Cku ya kwanza tu kakupa huyo alikuwa maharage ya mbeya Click to expand... Hivi maharage ya mbeya yakoje mkuu...? Teh teh maana naona siku hizi maharage ya mbeya kuiva kwake ni shuhuri unaweza kumaliza gas
Kaputupu JF-Expert Member Joined Feb 1, 2014 Posts 1,486 Reaction score 1,179 Aug 3, 2015 #17 miss chagga said: nilivyopewa pesa nyingi Click to expand... Kama id ako.. Pende helaaaaa thana wewe... Team kupeti kwako mmhh.. Labda upetiwe na noti
miss chagga said: nilivyopewa pesa nyingi Click to expand... Kama id ako.. Pende helaaaaa thana wewe... Team kupeti kwako mmhh.. Labda upetiwe na noti
Kaputupu JF-Expert Member Joined Feb 1, 2014 Posts 1,486 Reaction score 1,179 Aug 3, 2015 #18 Mkuuu kanikumbushaa mbali kinyama.. Nilinyeshewa na mvuaa aiseee nimesimama chini ya mti namsubiri mtoto.. Kigiza giza cha jioni hivi....
Mkuuu kanikumbushaa mbali kinyama.. Nilinyeshewa na mvuaa aiseee nimesimama chini ya mti namsubiri mtoto.. Kigiza giza cha jioni hivi....
Camilo Cienfuegos JF-Expert Member Joined Apr 23, 2015 Posts 19,228 Reaction score 68,243 Aug 3, 2015 #19 Enzi zetu, wasichana wana aibu sana, anataka uzime taa. Ila vibinti vya siku hizi mmmhhh....
Lumbi9 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2014 Posts 8,738 Reaction score 12,424 Aug 3, 2015 #20 Kipilipili said: Mtandao wako kabambe kama wa DAWASCO Click to expand... sijakusoma, funguka mkuu