PENTAGON: Houth wamelipua meli ya Denmark

PENTAGON: Houth wamelipua meli ya Denmark

Hivi punde US imesema.

Pentagon official:

A Danish owned, Singapore flagged ship was hit by Yemen’s AnsarAllah cruise missile or UAV, earlier today in the Red Sea.

Additionally, 26 rockets (in batches of 14 & 12) and 3 UAVs (suicide drones) were fired by Iraqi resistance on 2 US bases.View attachment 2858253
Hatari sana!
 
Kenge hasikii hadi kwanza damu itoke masikioni..

Hao magaidi wa Houthi wanachokitafuta watakapoanza kukipata wataanza kulia lia kuwa wanaonewa sana
Na hao wanaowaona kuwa kwa sasa ni mashujaa, badaye mzee wa kazi (US) akianza yake hao hao tena ndio wanaombea poo!!!
 
Mataifa mengi yameigomea US kutengeneza Alliance ya kupambana na Houth!
Italy na Spain zimekataa, Saudia, Misri, UEA zimemkatalia!
Ni suala la muda tu, NATO akisha kubali tayari na Nato ni US!!
 
Wana hamu ya kwenda kutafuna bikira hao.
Sema
Wazungu ni wavumilivu sana,wangeanza kulialia kama wenzao
 
Kwenye uislam hakuna upuuzi kama huo.
Mungu wetu anetutaka tuishi nao vizuri hata kwa asie muislam, ila akianza kuzingua bhange tusimuache hivi hivi.
Hakuna kivipi nawakati ndo maelekezo ya allah kama mpango mkakati wa uislamu kutawala dunia
Kuzaliana kwa wingi
Kuwachinja ambao sio waslsmu
 
Hivi punde US imesema.

Pentagon official:

A Danish owned, Singapore flagged ship was hit by Yemen’s AnsarAllah cruise missile or UAV, earlier today in the Red Sea.

Additionally, 26 rockets (in batches of 14 & 12) and 3 UAVs (suicide drones) were fired by Iraqi resistance on 2 US bases.View attachment 2858253
Habari za vita na kuuana waislamu wanazipenda sana😁😁😁
 
Hivi punde US imesema.

Pentagon official:

A Danish owned, Singapore flagged ship was hit by Yemen’s AnsarAllah cruise missile or UAV, earlier today in the Red Sea.

Additionally, 26 rockets (in batches of 14 & 12) and 3 UAVs (suicide drones) were fired by Iraqi resistance on 2 US bases.View attachment 2858253
Meli vita ya marekani imezizamisha boti mbili za magaidi wa kihouth leo
 
Back
Top Bottom