Mimi ni mmojawapo wa Wastaafu ninayepata Pensheni yangu kutoka HAZINA. Kila mwezi ninapata mafao yangu kuanzia tarehe 28 mpaka tarehe 1 mwezi unaofuata. Mpaka leo licha ya kwenda Benki kufuatilia hakuna kilichowekwa kwenye akaunti yangu. Ninauliza kulikoni?