urafiki wa mashaka huo
Sasa kama madame ndo kaacha mbona kama ye ndo kaumia tena....mmh mapenzi kazi!!!!
urafiki wa mashaka huo
unaweza acha kujifariji tu lakin ukweli ni kwamba ni kama ww ndo umeachwa, its like ilikua inakuja ila ukaona uhamishe tu ile phrase ya mm ndo nimekuacha, aliyemaucha mwenzake ni yule aliyeumia kidogo regardless nani alitamka maneno kwanza!!!
mi ningekuwa domo ningewapeleka kitanda moja wote niwavurugeWanaumiaaaa haoooooo na badoo
Kamuacha Domo lakini kaumiaaa
Na kwa zari hana la kuongea kimyaaa
Halaf huo urafiki ganii mlichukuliana mabwana mkachambana,, kusameheana ni vizuri lakini si kua karibu tena wangesameheana halaf kila mtu akawa kivyakeee sio hivyoo utasikia wanaibiana tena,wema hua ni msukule
kwani jamaa mjinga lile li bmw mama ubaya kalitoa wapi uko china na wapambe wale alioenda nao nani kasimamia shoo jamaa usimuone vile kaumizwa na mama ubaya sana tu
hawajui tu diamond kashamfumaniga wema na mtu flani kwa hoteli akamwambia vaa twende home
mara ya kwanza walivyoachana
yaani hy sasa hivi inshort wema hajatulia kwa wengine anafata pesa kwa naseeb mpini