are you norma!?PENGO aache kukurupuka! kukamata waalifu sio kazi yake! ni kazi ya polisi ambao wanautaratibu wao! lakini pia mbona hazungumzii watu wengine waliouwawa yeye anang'ang'ania Padri Mushi ambaye inahusishwa na biashara haramu.
Ukweli ukisemwa na yeyote yule unabaki ni ukweli.Mwaka 2015 si vibaya Pengo akachukua maamuzi ya kugombea nafas ya kisiasa,it seems siasa anaziweza sana kuliko utumishi wa mungu,
Mtikila ameweza yeye atashindwaje?
A point of correction: PENGO IS IN NO WAY THE HEAD OF THE CATHOLIC CHURCH IN TANZANIA. Canon law does not stipulate that a person becomes the head of the church in a particular country by being created a CARDINAL.
We have HEADS of local churches (BISHOPS OF PARTICULAR DIOCESES) and the church's spokesperson in Tanzania who is THE PRESIDENT of Tanzania Episcopal Conference. Presently is Rt Rev Tarcisius Ngalalekumtwa the Bishop of the Catholic Diocese of Iringa.
Be well versed wbefore you write awkwardly!
Pengo aliwahi kusema wale waliopigwa risasi na polisi kwenye maandamano Pemba Mwembechai walikuwa wahuni.Leo Mushi kapigwa risasi anawalalamikia tena polisi.Pengo vua ukadinali ingia kwenye siasa.[/QUOTE Ritz tupe ushahidi pasipo shaka juu ya kauli ya pengo kuwa waliopigwa risasi mwembe chai ni wahuni
Nakubaliana kabisa na Pengo kwani JK anahusika na yanayotokea ndio maana haagizi wahusika au shemeji (Mwema) kuchukua hatua.By The Citizen Reporter|Dar es Salaam, Wednesday, 27 March 2013
Polycarp Cardinal Pengo yesterday accused the Police Force of failing to maintain law and order and prevent the killing of innocent people.
The head of the Catholic Church in Tanzania said in his Easter greetings that the government had an obligation to safeguard peace, and scoffed at assertions that hooligans were behind the recent spate of high-profile killings in the country.
People are losing their lives, people are losing their property. The government should never keep quiet and think that religious leaders are better placed to deal with this worrying situation, he said.
He said religious leaders neither had the personnel nor power to arrest people who are wreaking havoc in society, adding that was the governments responsibility.
He said the government seemed reluctant to act as if it did not exist.
Cardinal Pengo recalled last months assassination of Father Evarist Mushi in Zanzibar, saying police were quiet on progress made in investigations so far.
I cannot say that I am satisfied with investigations into the killing of the priest...Tanzanians deserve to know what progress has been made in investigations.
Neither I, Bishop Augustino Shao (of Zanzibar) nor any other religious leader has an update on the investigations. The authorities are silent, Cardinal Pengo added.
He said it was ominous when authorities charged with ensuring that the country remained peaceful were at the forefront of breaching that very peace.
Cardinal Pengo called for the need to have an open dialogue between the Muslim and Christian communities, and take measures to prevent further incidents.
But police spokesperson Advera Senso said yesterday that investigations into the killing of Father Mushi were continuing.
She appealed to the public to volunteer information that could lead to the arrest of the killers.
Following the priests killing, the government, which called the assassination an act of terrorism, enlisted the help of the Federal Bureau of Investigation of the United States.
A sketch of one of the killers was released earlier this month. The portrait was based on eyewitness accounts.
Father Mushi was gunned down on February 17 as he was driving to mass at St Teresia Church on the outskirts of Zanzibar town.
Eyewitnesses said two people riding on a motorcycle called the priest by name and shot him three times when he opened the drivers window.
In February, a pastor with the Tanzania Assemblies of God (TAG), Rev Mathayo Kachila, was beheaded in Buseresere Town, Geita Region, during clashes blamed on religious conflict.
Last December, Catholic priest Ambrose Mkenda was shot and seriously wounded in Zanzibar.
Last year various churches in both Zanzibar and Tanzania Mainland were ransacked and burnt in incidents that stunned Christians and Muslims alike.
Dozens of people were arrested and charged in connection with the acts, which were condemned by political and religious leaders.
kama Pengo si kiongozi wa Kidini basi niache na mlengo wangu wa kidini na kisiasa,ila kama ni kiongozi wa kidini ww ndo urudi shule ukasome,,,,,,,Pengo ametoa madai ya kisiasa kama walivyo wanasiasa,,,,yeye kwa status yake haya malalamiko si angeyapeleka kwa IGP?halafu angepewa majibu,,,,,sasa waandishi ndo watamwambia MWEMA AU JESHI LA POLISI?YE ANGEENDA KUMUULIZA MWEMA AU KAMISHNA WA POLIS ZENJ,NADHAN WANGEMPA MAJIBU,ALWAYS WANAOPAYUKA NI WANASIASA,NDO MAANA NAKWAMBIA PENGO AINGIE RASM KWENYE SIASA,tena kupitia chadema,jimbo la Katoliki atashindaHiyo ndio hoja aliyoitoa Askf Pengo. Jifunze kusoma kwanza ndipo uchangie na sio kuongozwa na mlengo wa kidini au kisiasa.
toa mapendekezo nn kifanyike?na pengo alipaswa kutoa mapendekezo piaMkuu alichozungumzia Pengo ni kweli na ni halisi isipokuwa ametoa mfano mmoja tu, mengi yameshatikea kabla na Polisi wameishia kuunda tume kama wanasiasa au kutoa porojo tu. Hiki kinachoitwa 'mob justice' leo hakikuanzia tu hewani, ni matokeo ya uhalifu wa Polisi kutofanya kazi yao kwa weledi.
ndo hapo sasa,,,,,halafu yeye aambiwe ni nani hasa?PENGO aache kukurupuka! kukamata waalifu sio kazi yake! ni kazi ya polisi ambao wanautaratibu wao! lakini pia mbona hazungumzii watu wengine waliouwawa yeye anang'ang'ania Padri Mushi ambaye inahusishwa na biashara haramu.
Nakubaliana kabisa na Pengo kwani JK anahusika na yanayotokea ndio maana haagizi wahusika au shemeji (Mwema) kuchukua hatua.
Nakubaliana kabisa na Pengo kwani JK anahusika na yanayotokea ndio maana haagizi wahusika au shemeji (Mwema) kuchukua hatua.
Unaonekana una akili ya PANZI.. Hivi unajua pengo ana ushawishi kiasi gani kwa wacatholic? Funga mdomo wako usilete mambo yako ya kishenzi hapa.. Mpuuzi mkubwa wewe..kama Pengo si kiongozi wa Kidini basi niache na mlengo wangu wa kidini na kisiasa,ila kama ni kiongozi wa kidini ww ndo urudi shule ukasome,,,,,,,Pengo ametoa madai ya kisiasa kama walivyo wanasiasa,,,,yeye kwa status yake haya malalamiko si angeyapeleka kwa IGP?halafu angepewa majibu,,,,,sasa waandishi ndo watamwambia MWEMA AU JESHI LA POLISI?YE ANGEENDA KUMUULIZA MWEMA AU KAMISHNA WA POLIS ZENJ,NADHAN WANGEMPA MAJIBU,ALWAYS WANAOPAYUKA NI WANASIASA,NDO MAANA NAKWAMBIA PENGO AINGIE RASM KWENYE SIASA,tena kupitia chadema,jimbo la Katoliki atashinda
Possibly the government in one way or another is involved in this scandals of priests killings,That its too silence on what is going on followings these innocent killing,If its too early at what police wiil ready investigations an arresstings all suspected people.Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
Mkuu unaonekakana shule imekupita pembeni,wewe ulitaka awapongeze wauwaji kwa kazi nzuri,Acha kundekeza udini jadili mada husika na siyo nani? kaleta mada.Polisi wameuwa makumi ya Wananchi huko Zanzibar mwaka 2001 na Mwembechai 1998 Muadhama aliona ni sawa kwa Polisi kuuwa na kuwatupia lawama Marehemu! Leo kawageuka Polisi na kulaumu hawafanyi kazi sababu kauwawa Padre! Mkuki kwa Nguruwe mtamu kwa binaadamu mchungu!
EE Mwenye enzi Mungu, tunakuomba utunusuru na maadui wa ndani na nje!
Wewe inaonekana in kiraza wa viraza na kama umeenda shule inakubidi urudi shuleni tena chekechea,Pengo kakosea wapi? Pengo kama kiongozi wa kanisa ana wajibu kukemea maovu katika jamii likiwemo hilo la police kufuga ualifu,Au kwa sababu waislam ndiyo mmehusika kuwauwa wachungaji na mapadri ili mpate jehenamu sory pepo ya shetani sorry Allah,ndiyo maana inakuwa nongwa Pengo KUSEMA,Mpuuzi mkubwa.Ni upuuzi na hatari kwa kuichia akiri ndogo ya waisla kutawala akili kubwa.kama Pengo si kiongozi wa Kidini basi niache na mlengo wangu wa kidini na kisiasa,ila kama ni kiongozi wa kidini ww ndo urudi shule ukasome,,,,,,,Pengo ametoa madai ya kisiasa kama walivyo wanasiasa,,,,yeye kwa status yake haya malalamiko si angeyapeleka kwa IGP?halafu angepewa majibu,,,,,sasa waandishi ndo watamwambia MWEMA AU JESHI LA POLISI?YE ANGEENDA KUMUULIZA MWEMA AU KAMISHNA WA POLIS ZENJ,NADHAN WANGEMPA MAJIBU,ALWAYS WANAOPAYUKA NI WANASIASA,NDO MAANA NAKWAMBIA PENGO AINGIE RASM KWENYE SIASA,tena kupitia chadema,jimbo la Katoliki atashinda
Mkuu wauwaji wa viongozi wa dini ni waislamu na walisha hamasishana kupitia kwa sheikh Ilunga haina haja ya ya kuwatafuta.Police wadogo wanaogopa kuwafichua kwa sababu kilanja mkuu ndiyo hao hao.Sasa angalia mtu kama MUUWAJI Ilunga ana hamasisha waislam kuwauwa viongozi wa dini na bado anadunda mtaani huoni kuna tatizo kubwa tofauti na tunavyofikiri.sio kama polisi hawamjui muuwaji, wanamjua na sababu ya kifo wanaijua but wameamua kuficha ili kustiri mambo i.e funika kombe mwanaharamu apite, jamaa alikua d.r.u..g dealer, wamezinguana mchongo ukaenda ovyo wakamshut, izo ndo habari zilizo zagaa zenji mwezi sasa na FBI wameshaondoka zanzibar, mh wang C Pengo utachoka kusema, bora muachie Mungu kama vifo vyengine alivoachiwa Mungu.. wakatabuhu