Prince Hope
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 2,155
- 445
Punde tu baada ya mlipuko wa bomu katika parokia ya mtakatifu Joseph Mfanyakanzi- Olasiti, Pengo alitamka kuwa si udini.
Alisema amethibitishiwa na vyanzo vya uhakika.
Haya yanaanza kujirihidhisha wazi wazi.
Nami nasema, mlipuko wa mkutano wa Chadema arusha Si ugaidi. Ipo nia nyingine ovu iliyokusudiwa.
Alisema amethibitishiwa na vyanzo vya uhakika.
Haya yanaanza kujirihidhisha wazi wazi.
Nami nasema, mlipuko wa mkutano wa Chadema arusha Si ugaidi. Ipo nia nyingine ovu iliyokusudiwa.