Serikali ina haki ya kuhamasisha kura ya NDIYO kama UKAWA walivyo na haki ya kuhamasisha kura ya hapana. Ila hawa viongozi wa dini wanapaswa kuwa kati. Waige mfano wa viongozi wa kiislam. Huwa hawatoi matamko yanayoligawa taifa
Serikali ina haki ya kuhamasisha kura ya NDIYO kama UKAWA walivyo na haki ya kuhamasisha kura ya hapana. Ila hawa viongozi wa dini wanapaswa kuwa kati. Waige mfano wa viongozi wa kiislam. Huwa hawatoi matamko yanayoligawa taifa
serikali haki hiyo wanaitoa wapi naomba authority Na sheria gani inayowazuia maaskofu kutoa matamko kuhusu mambo mbalimbali ya kitaifa?
Pengo ni mnafiki na anatumika sana. Nadhani ni wakati muafaka sasa kwa baraza la maaskofu kula nae sahani moja.
Umesema murua kabisa,maana sasa hivi amekuwa upande wa Mafisadi hayupo tenda upande wa Wanyonge wa Tanzania. Na namshangaa anapata wapi mamlaka ya kumpinga ''Bosi'' wake Raisi wa TEC Mhashamu Askofu Mkuu Ngalelikumtwa.
Yaani wewe umejiunga tu na jukwaa unaanza kukashifu viongozi wa dini?