johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,521
Cardinal Pengo leo ameongoza ibada ya pasaka iliyofanyika kitaifa katika kanisa la Mt Maurus kurasini Dsm.
Katika mahubiri yake amewataka wakristo wawe watu wa TOBA na KUJIRUDI kama alivyofanya Petro baada ya kumkana Yesu mara tatu.
Amesema Petro alifanya dhambi mbaya labda kuliko Yuda kwani yeye alimkana Yesu akiwa anakiendea kifo. Amesisitiza yeye ameshatubu na kuwasihi waumini kutoona Haya kutubu mbele ya KRISTO.
Haleluya!
Katika mahubiri yake amewataka wakristo wawe watu wa TOBA na KUJIRUDI kama alivyofanya Petro baada ya kumkana Yesu mara tatu.
Amesema Petro alifanya dhambi mbaya labda kuliko Yuda kwani yeye alimkana Yesu akiwa anakiendea kifo. Amesisitiza yeye ameshatubu na kuwasihi waumini kutoona Haya kutubu mbele ya KRISTO.
Haleluya!