Pengine ulikua hujaiona ripoti hii

Pengine ulikua hujaiona ripoti hii

Mwanakili90

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2010
Posts
1,568
Reaction score
246
Baada ya uchaguzi mkuu wa kugombea uraisi uliofanyika tarehe31 oktoba.Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania,kupitia taasisi,idara na mashirika mbalimbali ya umma ilitumia shilingi 175,639,750/= kwa ajili ya kutoa salamu 217 za pongezi zilizochapishwa katika vyombo mbalimbali vya habari kama magazeti, kuanzia tarehe 8 novemba hadi tarehe 8 desemba 2010.
 
Hayo juu ni mashairi? Au mpaka ijaze page ndo utajua ndo ripoti?

Source ya hicho ulichoandika ni kitu gani ni wewe ama kuna study imefanyika mahali mpaka kupata hicho kiasi na umesema labda tulikuwa hatujaipata hiyo ripoti, ni kweli mimi sijaipata ndio maana useme umetoa wapi hayo ama umejuaje hayo?
 
Yaani kila tangazo moja ni Shs 809,399/-. Isnt this shit?
 
Back
Top Bottom