min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,613
Kuna nini mkuu?Aisee
Kuna nini mkuu?Aisee
Kama wamepewa kipaji cha kuogelea ni jambo jema sana maana nawaonea huruma sana hawa ndegePenguins hawapai, wanaogelea.
Hayo unayoyaona kama mabawa wanayatumia kuogelea.
Hiyo habari ya fisi imenistaajabisha sanaKuna nini mkuu?
Ushafuatilia kupata ukweli? Coz mimi nimeweka kionjo tu.Hiyo habari ya fisi imenistaajabisha sana
Sijafuatilia mkuuUshafuatilia kupata ukweli? Coz mimi nimeweka kionjo tu.
Utani wa ngumi huo!Sijui kwanini baada ya kusoma kichwa cha habari nikajikuta nawawaza Watanzania 😄
Hii inashangangazaKama wamepewa kipaji cha kuogelea ni jambo jema sana maana nawaonea huruma sana hawa ndege
Dhaifu hawezi kupewa Ubrigedia wa JeshiHawa viumbe wanaitwa Penguins, mwanzo nilipata ugumu kufahamu kama hawa ni birds or animals ila baadae nikajiridhisha pasi na shaka kuwa hawa ni ndege maana wana mabawa japo sina hakika kama wanayatumia hayo mabawa kwenye harakati zao za maisha.
Hawa viumbe hawana uwezo wa kukimbia wala kupaa jambo linalowafanya wawe dhaifu sana. Hivi hakuna wanyama wanaowatumia kama kitoweo? Na kama wanatumiwa kama kitoweo je, wanatumia mechanism gani kujihami?
Nimetafakari sana ukuu wa Mungu na kuwaza kusudi la Mungu lilikuwa nini kuumba viumbe dhaifu kama hawa ambao as per my perception I'm convinced to say that these might be the weakest creatures in the universe.
View attachment 3020231View attachment 3020233
M yaoHawa viumbe wanaitwa Penguins, mwanzo nilipata ugumu kufahamu kama hawa ni birds or animals ila baadae nikajiridhisha pasi na shaka kuwa hawa ni ndege maana wana mabawa japo sina hakika kama wanayatumia hayo mabawa kwenye harakati zao za maisha.
Hawa viumbe hawana uwezo wa kukimbia wala kupaa jambo linalowafanya wawe dhaifu sana. Hivi hakuna wanyama wanaowatumia kama kitoweo? Na kama wanatumiwa kama kitoweo je, wanatumia mechanism gani kujihami?
Nimetafakari sana ukuu wa Mungu na kuwaza kusudi la Mungu lilikuwa nini kuumba viumbe dhaifu kama hawa ambao as per my perception I'm convinced to say that these might be the weakest creatures in the universe.
View attachment 3020231View attachment 3020233
Imagine Jamaa hajamuona huyu 😂😂😂