Trubetzkoy
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 372
- 730
Hawa viumbe wanaitwa Penguins, mwanzo nilipata ugumu kufahamu kama hawa ni birds or animals ila baadae nikajiridhisha pasi na shaka kuwa hawa ni ndege maana wana mabawa japo sina hakika kama wanayatumia hayo mabawa kwenye harakati zao za maisha.
Hawa viumbe hawana uwezo wa kukimbia wala kupaa jambo linalowafanya wawe dhaifu sana. Hivi hakuna wanyama wanaowatumia kama kitoweo? Na kama wanatumiwa kama kitoweo je, wanatumia mechanism gani kujihami?
Nimetafakari sana ukuu wa Mungu na kuwaza kusudi la Mungu lilikuwa nini kuumba viumbe dhaifu kama hawa ambao as per my perception I'm convinced to say that these might be the weakest creatures in the universe.
Hawa viumbe hawana uwezo wa kukimbia wala kupaa jambo linalowafanya wawe dhaifu sana. Hivi hakuna wanyama wanaowatumia kama kitoweo? Na kama wanatumiwa kama kitoweo je, wanatumia mechanism gani kujihami?
Nimetafakari sana ukuu wa Mungu na kuwaza kusudi la Mungu lilikuwa nini kuumba viumbe dhaifu kama hawa ambao as per my perception I'm convinced to say that these might be the weakest creatures in the universe.