MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,081
- 35,378
Maneno yako maana kama kutokufuata uzezeta wa mazezeta kama wewe ni ugonjwa wa akili wewe na wenzie 100 nisawa na kichaa 1 anaye jitambuaSiku hizi unaugonjwa wa akili.
Maneno yako maana kama kutokufuata uzezeta wa mazezeta kama wewe ni ugonjwa wa akili wewe na wenzie 100 nisawa na kichaa 1 anaye jitambuaSiku hizi unaugonjwa wa akili.
Wafuatao natamani wawe katika timu ya kampeni UKAWA.
1.Tundu Lissu.
2.Godbless Lema.
3.Halima Mdee.
4.Esther Bulaya.
5.Joseph Haule.
6.Joseph Mbilinyi.
7.John Mnyika.
8.James Lembeli.
9.Alphonce Mawazo
10.Ismail Jussa.
11. Salum Mwalim
12.Benson Kigaila
13.David Silinde
14.Magdalena Sakaya
15.David Kafulila
Kamanda hawa uliowataja kwenye mijimbo yao ya uchaguzi kazi wanayo kujinadi, sasa unataka waende kumpigia kampeni Lowassa hauwatakii mema.
Mgombea ubunge mwenye uwezo wa kuacha jimbo lake na kwenda kumpigia kampeni mgombea mwingine ni Zitto tu.
Kumekucha tena makamanda.
Maneno yako maana kama kutokufuata uzezeta wa mazezeta kama wewe ni ugonjwa wa akili wewe na wenzie 100 nisawa na kichaa 1 anaye jitambua
Wewe lazima utakuwa THE Nyumbu, Elephant hawezi kuwa punguani kiasi hiki.kwa maharage ya kawaida usingekuwa na povu lote hili lazima hayo uliyokula yamechacha!
Halafu kwenye majimbo yao nani atagombea?
dr slaa je?
Mtatamani saana,kama wana ubavu waambie na wao waweke hapa tuone
Siwajui haohv Act vichaa mnajitambua ee? Na hoji tu