MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,081
- 35,385
Kampeni za majukwaani tuwaachie wanasiasa. Ila mpenda "MABADILIKO" kampeni inaanza saa 12 jioni hadi 12 asubuhi. Nyumba kwa nyumba, chumba kwa chumba, kitanda kwa kitanda hadi kieleweke mwaka huu. Elimisha zaidi ya wanachi zaidi ya ishirini (20) umuhimu wa kupiga kura na kuiondoa ccm madarakani.
Bila chochote au