I Agree with you,halafu habari zake nyingi anazirusha kishabiki sana na kushindwa kuzuia hisia zake kuwa anatumiwa na upande wa pili baada ya kupokea chochote, ziangalie kwa makini habari zake utaona anabase kwa waliomlipa,na mara nyingi hafuati maadili na sheria za uandishi wa habari ndiyo maana ile habari ya mahakama aliyorusha kwa kumdhalilisha yule hakimu ITV walilazimika kuomba radhi coz sheria za kurusha habari za kimahakama zilikiukwa,Pia ni mtu anayependa kutumia Media kuhamasisha umma ili apate habari pasipo kuangalia madhara yanayopatikana kutokana na habari anayoitengeneza angalia kuna habari moja ya Mikocheni watu walifikia kuwachoma moto watu wakidaiwa vibaka kwa hamasa zake alizozitengeneza apate habari,ITV sio wajinga sana.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums