King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,609
Umofia kwenu wana bodi,
Poleni ambao hamna umeme ila kwetu wakukinga huku,Nimekuwa nikimfatilia huyu mtangazaji wa ITV Sam Mahela kiukweli jamaa anastahili tu(n)zo ya mfanyakazi bora wa mwaka 2012/2013 ndani ya Ipp Media, Nimeona hilo kutokana na kufanya mambo ambayo hata wengine hawawezi, moja ya matukio niliyoyaona ni lile la mama alivimba na mguu na jingine ni la leo ambalo mzee aliyetelekezwa na wanae miaka 8 na anajisahidia mumo ndani ya nyumba lakini jamaa aliingia na kushika mifuko iliyojaa nnya na kufungua maplastiki yaliyojaa mikojo(with bare hand)! Mengi tunakuomba umpe mfanyakazi bora wa mwaka 2012/2013.
Nawasilisha.
Poleni ambao hamna umeme ila kwetu wakukinga huku,Nimekuwa nikimfatilia huyu mtangazaji wa ITV Sam Mahela kiukweli jamaa anastahili tu(n)zo ya mfanyakazi bora wa mwaka 2012/2013 ndani ya Ipp Media, Nimeona hilo kutokana na kufanya mambo ambayo hata wengine hawawezi, moja ya matukio niliyoyaona ni lile la mama alivimba na mguu na jingine ni la leo ambalo mzee aliyetelekezwa na wanae miaka 8 na anajisahidia mumo ndani ya nyumba lakini jamaa aliingia na kushika mifuko iliyojaa nnya na kufungua maplastiki yaliyojaa mikojo(with bare hand)! Mengi tunakuomba umpe mfanyakazi bora wa mwaka 2012/2013.
Nawasilisha.