PENDEKEZO: Nani anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, tuone Hapa kazi tu kwa vitendo?

Kwa jinsi kiti kilivo cha moto!hawa wooooote waliotajwa hapa HAWATAKI hata kusikia hiyo nafasi.
 
Mh. Rais wetu, hongera sana na pongezi kwa kazi kubwa ya UZALENDO WA MFANO KWAKO... Sisi wananchi tuko nawe kwa kila hatua, kamwe usikate tamaa...

Mm binafsi naona openly, kama unataka UTENDAJI NA SLOGAN YA HAPA KAZI TU.. hasa Wizara kama ya mambo ya ndani... MTEUE AGGREY MWANRI... ambae kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora... Huyu mtu ni mchapa kazi kweli kweli...!!
Mh. Rais wetu ukitazama kwingine umwache Aggrey, basi yuko Balozi Khamis Kagasheki... huyu nae ni type yako...kwa hulka na uzalendo, utendaji na hana mchezo... Balozi Khamis Kagasheki..!!
The ball is yours sir..!!

Siku njema Mh. Rais Magufuli, hakika sasa najivunia kuitwa Mtanzania... Kamwe usife moyo, tunakuombea sana..!!

Mungu akulinde daima na milele..!! Na kwaheriiii...!!

The best could be hon. Eng. gerson lwenge mp
 
huyu aggrey mwanri kafanya nini cha maana tamisemi zaidi ya kugomba bungeni?

halimashauri alizokuwa anazisimamia leo tunashuhudia uozo wa kutisha, wafanyakazi hewa na madudu mengi yako huko uwajibikaji hafifu. na mengine mengi.

mimi nadhani hafai,

chama kina hazina yaviongozi wengi atafutwe mwingine mpya ili afanye kazi kwa kasi ya awamu ya tano.
 
Magu nimeanza kukuelewa, maoni please mpeleke Adadi Rajabu pale Internal Affairs, atakushauri vizuri kuhusu usalama na pia yeye binafsi atakuwa serous na kazi cause he knows well the ministry, all the best Amiri Jeshi Mkuu, alafu usisahau kuhusu ile issue ya Lake Malawi peleka zile meli 3 pale wakizingua vijana wako TUTASONGA MBELE USIWAZE.
 
Naunga mkono hoja....huyu jamaa hata kama ulimfumania na mke wako,kwahiyo humpendi kabisa,naomba tu uweke chuki pembeni#JPM usijiulize mara mbili.....
 
Nakwakikisha atutokaa tupate maendeleo bila kunyonga watu ii ya kuchekeana na kifungo cha siku2 tunaitaji mtu wa kunyonga watu mchana kweupe
Izo co phlosophy za uongozi bora, watu wanaitaji kuheshiniwa na kulindwa wao na mali zao, but katika mfumo huu wa uwazi na ushndani wa kisiasa ukichagua mtu kisha akawa anawaua watu ovyovyo unakitengenezea kaburi chama pamoja na kutengeneza maadui wa wazi wazi dhidi yako, cha msingi ni kuteua mtu makini mwenye busara na anaeweza kutekeleza majukumu yake bila jazba wala mihemko ya vyama na itikadi, vinginevyo utakujajijuta the hague unatakiwa kujibu.....
 
huyu aggrey mwanri kafanya nini cha maana tamisemi zaidi ya kugomba bungeni?

halimashauri alizokuwa anazisimamia leo tunashuhudia uozo wa kutisha, wafanyakazi hewa na madudu mengi yako huko uwajibikaji hafifu. na mengine mengi.

mimi nadhani hafai,

chama kina hazina yaviongozi wengi atafutwe mwingine mpya ili afanye kazi kwa kasi ya awamu ya tano.
Inasemekana anajua kufokea wafanyakazi wake ktk tv.
 
Mi naombeni kujua alichofanya huyu jamaa Aggrey mpaka mumpendekeze, nina uhakika kuna watu wengine hatuwajui ila ni wachapa kazi, wako back bencher, nani alimjua Majaliwa??
 
Back
Top Bottom