Pendekezo: Kwenye Uchaguzi Mkuu kuwe na 'kura ya wazi'

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,198
25,517
Hapo mwaka 2015 tutakapochagua viongozi wetu kwa kipindi kitakachowekwa na Katiba,napendekeza kuwe na kura ya wazi. Wapigakura wafike vituoni na kutamka kupigia chama fulani au mgombea fulani. Kwanza,itarahisisha kuhesabu kura.Pili, mshindi atajulikana mapema.Tatu, kura kuibiwa itakuwa ngumu sana.

Ni vyema vyama vinavyotaka kura ya wazi kwenye kupitisha Katiba vikajenga hoja hii. Kwamba,hapo mwaka 2015 katika Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani,kura iwe ya wazi. Upigaji huu wa kura hautamlazimisha mpigakura kuondoka nyumbani baada ya kupiga kura yake.Atakuwa na haki ya kubaki na kusikiliza wenzake wanasemaje na wamemchagua nani. Kwakuwa kampeni zitakuwa zimeshafanyika,itakuwa ni kutaja tu mchaguliwa.

Hii hoja vipi wanasiasa wa Tanzania?
 
'Atakaye pigia kura mgombea asiye "mwenzetu" ,lazima tumchome na bisibisi'

Kura iwe ni ya SIRI!
 
Hapo mwaka 2015 tutakapochagua viongozi wetu kwa kipindi kitakachowekwa na Katiba,napendekeza kuwe na kura ya wazi. Wapigakura wafike vituoni na kutamka kupigia chama fulani au mgombea fulani. Kwanza,itarahisisha kuhesabu kura.Pili, mshindi atajulikana mapema.Tatu, kura kuibiwa itakuwa ngumu sana. Ni vyema vyama vinavyotaka kura ya wazi kwenye kupitisha Katiba vikajenga hoja hii. Kwamba,hapo mwaka 2015 katika Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani,kura iwe ya wazi. Upigaji huu wa kura hautamlazimisha mpigakura kuondoka nyumbani baada ya kupiga kura yake.Atakuwa na haki ya kubaki na kusikiliza wenzake wanasemaje na wamemchagua nani. Kwakuwa kampeni zitakuwa zimeshafanyika,itakuwa ni kutaja tu mchaguliwa. Hii hoja vipi wanasiasa wa Tanzania?
Kama wewe mwenyewe unapenda uwazi vua nguo zote utembee uchi barabani ndio watu wapige kura ya wazi.
 
Hapo mwaka 2015 tutakapochagua viongozi wetu kwa kipindi kitakachowekwa na Katiba,napendekeza kuwe na kura ya wazi. Wapigakura wafike vituoni na kutamka kupigia chama fulani au mgombea fulani. Kwanza,itarahisisha kuhesabu kura.Pili, mshindi atajulikana mapema.Tatu, kura kuibiwa itakuwa ngumu sana.

Ni vyema vyama vinavyotaka kura ya wazi kwenye kupitisha Katiba vikajenga hoja hii. Kwamba,hapo mwaka 2015 katika Uchaguzi wa Rais,Wabunge na Madiwani,kura iwe ya wazi. Upigaji huu wa kura hautamlazimisha mpigakura kuondoka nyumbani baada ya kupiga kura yake.Atakuwa na haki ya kubaki na kusikiliza wenzake wanasemaje na wamemchagua nani. Kwakuwa kampeni zitakuwa zimeshafanyika,itakuwa ni kutaja tu mchaguliwa.

Hii hoja vipi wanasiasa wa Tanzania?

Aisee hoja yako ina mashiko.Dawa ya hawa wapu-mba-vu ni hiyo tu.
 
sure mkuu, kura ya wazi ndo dawa. Yani ukifika kituoni unatamka tu nafasi ya urais ni EL
 
sure mkuu, kura ya wazi ndo dawa. Yani ukifika kituoni unatamka tu nafasi ya urais ni EL
 
sure mkuu, kura ya wazi ndo dawa. Yani ukifika kituoni unatamka tu nafasi ya urais ni EL

I
Wewe adawilly hoja iliyoletwa hapa ni kura wazi wewe tayari umeshaanza na kuleta wagombea hapa naona EL atakuja akulambie namkeo soon maan unakiherehere kama wale wanafunzi waschana watoto wa baba mwanaisha.Please uijue mada kabla hujaanza kulalama bro.
 
Wakati wa utawala wa Moi kule Kenya kura uchaguzi mkuu ilikuwa inakuwa ya wazi. Walikuwa wanaita kura ya mlolongo. Kura itapigwa kila kituo tangu saa 3 hadi saa 5. Mpiga kura lazima afike kituoni muda huo. Ikifika saa 5 kamili watu wanasimama kwenye mlolongo wa mbunge wamtakaye, then wanahesabiwa. Ndipo husimama kwenye mlolongo wa Raisi wamtakaye then huhesabiwa. mwisho wa mchezo!
 
I
Wewe adawilly hoja iliyoletwa hapa ni kura wazi wewe tayari umeshaanza na kuleta wagombea hapa naona EL atakuja akulambie namkeo soon maan unakiherehere kama wale wanafunzi waschana watoto wa baba mwanaisha.Please uijue mada kabla hujaanza kulalama bro.

Kwa matusi utanishinda ila siyo hoja. Unatakiwa kusoma katikati ya mistari ili kuelewa mantiki ya mchangia hoja la sivyo utaishia kumdhihaki kila mtu usiemuelewa.

Anyway kwenye msafara wa mamba kenge pia wamo.
 
hahahaha watashindwa kura ya wazi kwenye vyama vyao seuze uchaguzi mkuu, ukiona ccm kashikilia uwazi uje ana lake jambo. hoja ya kura za wazi zingeanzwa kwao ndani ya uchaguzi wa vyama vyao..
 
Back
Top Bottom