Kinga kingdom
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 769
- 847
Nionavyo mimi ili tume huru ya uchaguzi iwepo na ionekane huru kweli kweli basi lazima Iundwe kwa kufuata Utaratibu ufuatao:
Moja kiongozi mkuu asichaguliwe na RAIS.
Pili:viongozi au Wafanyakazi wake wasifungamane na vyama vya siasa!!!
Tatu:Kuwe na muwakilishi wa kila mkoa ndani ya tume ambaye atamsimamia Mtangazaji wa matokeo asitangaze kinyume na hali halisi...
Kama hiyo haitoshi kura ziwe zinahesabiwa mahakamani na kutangazwa huko huku wahusika wagombea wakishughudia mwanzo mwisho...
Hapo hakutakua na wakusema ameibiwa ila kwa hivi Sasa Malalamiko hayataisha.
Ruksa kukosoa
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app
Moja kiongozi mkuu asichaguliwe na RAIS.
Pili:viongozi au Wafanyakazi wake wasifungamane na vyama vya siasa!!!
Tatu:Kuwe na muwakilishi wa kila mkoa ndani ya tume ambaye atamsimamia Mtangazaji wa matokeo asitangaze kinyume na hali halisi...
Kama hiyo haitoshi kura ziwe zinahesabiwa mahakamani na kutangazwa huko huku wahusika wagombea wakishughudia mwanzo mwisho...
Hapo hakutakua na wakusema ameibiwa ila kwa hivi Sasa Malalamiko hayataisha.
Ruksa kukosoa
Sent from my A37f using JamiiForums mobile app