OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,683
- 120,377
Hakuna Namna,Kwa mujibu wa bajeti ya 2016/17 bajeti ya maendeleo imetenga 2b kwa ajili ya kujenga uwanja wa ndege huku Wilayani Chato,Napendekeza kuwa uwanja huo uitwe Pombe Airport,na kama itakuwa ni uwanja wa kimataifa iwe Pombe International Airport.....Speculation:Labda airport hiyo ni maandalizi ya vìwanda kila mkoa,kwamba kijengwe kiwanja kwanza halafu ndo kiwanda