logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,240
- 5,533
Kim said he was happy at the improvement of the players, despite the challenges he was facing within the Tanzania Football Federation (TFF).
Maoni yangu :
Sina chuki na kocha mkuu na Benchi la Ufundi ila kutokana na matokeo mabovu, TFF na wahusika wengine, nawaomba mfikirie tena juu ya huyu mtu na timu yake ya utaalamu.
Tunakumbuka vijana wengi wa AFCON U-17 ya kina Kabwili, Yohana nk na hii ya sasa ni tofauti.
Tusitamani kuvuna bila ya kupanda mbegu za gharama.
Kama tulidhani kocha wa kigeni kuwa mtaalamu wa soka la vijana ni ufujaji wa pesa basi haya ni matokeo.
Sote tunasikitika na matokeo haya japo tunajifariji na maneno matamu kila baada ya mechi .
Kuna watu tumejaa maneno matupu bila vitendo ila Paulsen sikumuona mara nyingi kwa makamera bali kivitendo zaidi.
Nawasilisha.
Maoni yangu :
Sina chuki na kocha mkuu na Benchi la Ufundi ila kutokana na matokeo mabovu, TFF na wahusika wengine, nawaomba mfikirie tena juu ya huyu mtu na timu yake ya utaalamu.
Tunakumbuka vijana wengi wa AFCON U-17 ya kina Kabwili, Yohana nk na hii ya sasa ni tofauti.
Tusitamani kuvuna bila ya kupanda mbegu za gharama.
Kama tulidhani kocha wa kigeni kuwa mtaalamu wa soka la vijana ni ufujaji wa pesa basi haya ni matokeo.
Sote tunasikitika na matokeo haya japo tunajifariji na maneno matamu kila baada ya mechi .
Kuna watu tumejaa maneno matupu bila vitendo ila Paulsen sikumuona mara nyingi kwa makamera bali kivitendo zaidi.
Nawasilisha.