kitalolo
JF-Expert Member
- Dec 4, 2006
- 1,827
- 707
Napendekaza ianzishwe taasisi ijulikanayo kama Dr. Ulimboka foundation.
Kazi zake iwe ni kuchangisha fedha kutoka kwa wananchi ndani ya nchi na kwa wafadhili nje ya nchi kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya tiba katika mahospitali yetu.
Taasisi hii inawezwa kusimamima na chma cha madaktari Tanzania, na watapita nchi nzima katika hospitali zetu kuangalia magitaji ya vifaa tiba pamoja na mahitaji mengine kwenye hospitali zetu, hii ikiwa ni katika kuhakikisha kuwa baada ya sakata la Dr. Ulimboka limetufanya kuchukua hatua na kufikiri nje ya box badala ya kuisubiri serekali tu kufanya kila kitu.
mpango mzuri wa usimamizi wa taasisi hii unaweza kuundwa ili kuzuia furwa za watu kujinufaisha na mpango huo.
Nafikiri kwa hapo tutakuwa tumeisaidia Serekali kwa kiasi kikubwa maana serekali imeonyesha kushindwa katika hili.
Pia serekali ikaachiwa jukumu moja la kuhakikisha maslai ya madaktari pamoja na wafanyakazi wa sekta ya afya nchini yanaboreshwa. Kwahapo sifiukirii kama serekali itashindwa tena kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha inaboresha maslai ya wahudumu wa afya.
Serekali isione aibu kushirikia na taasisi hii katika kuhakisha ubora na upatikanaji wa vifaa tiba mapoja na kuboresha hali za vituo vya tima pamoja na hospitali nchini.
Nafikiri tumekuwa tukishuhudia watu, taasisi, mashirika na makampuni mbalimbali katika nchi hii yakijitoa kwaajili ya shughuli mbalimbali za kijamii, nafikiri kwa hili itakuwa zaidi.
Pia unaweza kuanzishwa mpango maalumu wa VIP ambapo mtu atakuwa akilipia hudumua ya afya kabla ya kuipata na akawa na kadi maalumu kwaajili ya tiba. wanachama wa mpango huu watajulika idadi yao na kiasi watakachokuwa wanachangia kwa mwaka kitajulika hata kabla hivyo kuwezesha mpango huu kuwa na uhakika wa kiasi fulani cha fedha kwa mwaka.
Vikaanzishwa huduma za VIP katika hospitali zetu mgonjwa anapiga simu na kama anataka hata huduma ya tiba inaweza ikapelekwa mahali alipo kama nyumbani au ofisini na kwenye mahospitali kukawa na sehemu maalumu za kuwapokea wagonjwa wa VIP na kuwapitia special treatment.
Mpango huu unaweza kuwa ni walazima kwa baadhi ya viongozi wa serekali wakiwemo wabunge.
IKIWA ILIWEZEKANA KUCHANGISHA HELA ZA KUMPELEKA DR. KWA MATIBABU NJE YA NCHI NAFIKIRI KWA HILI ITAKUWA ZAIDI SANA.
NANYI MADAKTARI NA WAUDUMU WA SEKTA YA AFYA NCHINI MSIBAKI KUILAMU SEREKALI TU JARIBUNI KUBUNI NJIA ZITAKAZOISAIDIA SEREKALI ILIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAKE ILI IWEZE KUUITIMIZA KWA KUSHIRIKIANA NANYI.
NAAMINI KWA HAPO TUTAKUWA TUMELIFANYIA KITU TAIFA LETU BADALA YA KUSUBIRI TAIFA LITUFANYIE VITU.
NI MAWAZO YANGU TU YA KIJINGA UNARUHUSIWA KUNIKOSOA NA KUNISAHIHISHA ILI WALAU KITU FLANI KIFANYIKE.
NA KWELI KAMA KAMANDA ULIMBOKA ALIVYOSEMA DAMU YAKE NA IWE CHACHU.
AMINA
Kazi zake iwe ni kuchangisha fedha kutoka kwa wananchi ndani ya nchi na kwa wafadhili nje ya nchi kwaajili ya ununuzi wa vifaa vya tiba katika mahospitali yetu.
Taasisi hii inawezwa kusimamima na chma cha madaktari Tanzania, na watapita nchi nzima katika hospitali zetu kuangalia magitaji ya vifaa tiba pamoja na mahitaji mengine kwenye hospitali zetu, hii ikiwa ni katika kuhakikisha kuwa baada ya sakata la Dr. Ulimboka limetufanya kuchukua hatua na kufikiri nje ya box badala ya kuisubiri serekali tu kufanya kila kitu.
mpango mzuri wa usimamizi wa taasisi hii unaweza kuundwa ili kuzuia furwa za watu kujinufaisha na mpango huo.
Nafikiri kwa hapo tutakuwa tumeisaidia Serekali kwa kiasi kikubwa maana serekali imeonyesha kushindwa katika hili.
Pia serekali ikaachiwa jukumu moja la kuhakikisha maslai ya madaktari pamoja na wafanyakazi wa sekta ya afya nchini yanaboreshwa. Kwahapo sifiukirii kama serekali itashindwa tena kutekeleza majukumu yake ya kuhakikisha inaboresha maslai ya wahudumu wa afya.
Serekali isione aibu kushirikia na taasisi hii katika kuhakisha ubora na upatikanaji wa vifaa tiba mapoja na kuboresha hali za vituo vya tima pamoja na hospitali nchini.
Nafikiri tumekuwa tukishuhudia watu, taasisi, mashirika na makampuni mbalimbali katika nchi hii yakijitoa kwaajili ya shughuli mbalimbali za kijamii, nafikiri kwa hili itakuwa zaidi.
Pia unaweza kuanzishwa mpango maalumu wa VIP ambapo mtu atakuwa akilipia hudumua ya afya kabla ya kuipata na akawa na kadi maalumu kwaajili ya tiba. wanachama wa mpango huu watajulika idadi yao na kiasi watakachokuwa wanachangia kwa mwaka kitajulika hata kabla hivyo kuwezesha mpango huu kuwa na uhakika wa kiasi fulani cha fedha kwa mwaka.
Vikaanzishwa huduma za VIP katika hospitali zetu mgonjwa anapiga simu na kama anataka hata huduma ya tiba inaweza ikapelekwa mahali alipo kama nyumbani au ofisini na kwenye mahospitali kukawa na sehemu maalumu za kuwapokea wagonjwa wa VIP na kuwapitia special treatment.
Mpango huu unaweza kuwa ni walazima kwa baadhi ya viongozi wa serekali wakiwemo wabunge.
IKIWA ILIWEZEKANA KUCHANGISHA HELA ZA KUMPELEKA DR. KWA MATIBABU NJE YA NCHI NAFIKIRI KWA HILI ITAKUWA ZAIDI SANA.
NANYI MADAKTARI NA WAUDUMU WA SEKTA YA AFYA NCHINI MSIBAKI KUILAMU SEREKALI TU JARIBUNI KUBUNI NJIA ZITAKAZOISAIDIA SEREKALI ILIOSHINDWA KUTIMIZA WAJIBU WAKE ILI IWEZE KUUITIMIZA KWA KUSHIRIKIANA NANYI.
NAAMINI KWA HAPO TUTAKUWA TUMELIFANYIA KITU TAIFA LETU BADALA YA KUSUBIRI TAIFA LITUFANYIE VITU.
NI MAWAZO YANGU TU YA KIJINGA UNARUHUSIWA KUNIKOSOA NA KUNISAHIHISHA ILI WALAU KITU FLANI KIFANYIKE.
NA KWELI KAMA KAMANDA ULIMBOKA ALIVYOSEMA DAMU YAKE NA IWE CHACHU.
AMINA