Pendekezo: Filikunjombe awe Waziri Mkuu mpya!

kweleakwelea

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
3,066
1,535
NDIGu watanzania wenzangu, raia wenye mapenzi mema na inji hii, waume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo, waliosoma na wasiosoma...mabibi na mabwana!!!!

ni ushahidi tosha kuwa maisha ya watanzania wengi kwa miaka mingi yamedumazwa na kutiwa kilema na mipangilio ya utawala wa KICHIFU na ubadhirifu unaokumbatiwa na CCM!!

sasa nchi imekomaa watu wanataka wawe na uamuzi juu ya hatma ya nchi yao!!

watu wamelia..tumeona wezi wa kuku wakitupwa magerezani...wahujumu wa afya elimu na kila tunu na rasilimali ya taifa wakilindwa na kupigiwa makofi....

mwalimu alisema, naomba tumuelewe.....mwalimu...yeye ni mwanaCCM mwenye kadi namba moja...alikiri kuwa taifa kwanza CHAMA baadae!!!

wengi tumejitolea kuulea upinzani kwa nia njema ya taifa..adhabu tunazozipata ni kali sana...wengine walisema tumejitakia wenyewe!!!!

sasa umefika wakati..tuungane kuilinda nchi yetu....

waliiba kina jairo, na wenzao....wakalindwa.....

wakaua watu kule muhimbili...wakalindwa....

wakafilisi mashirika ...wakalindwa...

jamani nyie huko CCM??? mbona chama kina hazina kubwa ya watu wanaoeleweka woga uko wapi???

mnaogopa nini kuvunja baraza ya mawaziri??? kwani MPAKA SASA WABUNGE WANGAPI WAMESOMEA UWAZIRI KIASI KWAMBA HAMNA WATAALAMU WA KUTOSHA WA KUFANYA KAZI YA UWAZIRI???

NA NI PEPO GANI LILIWAKUTA MKAANZA KUCHAGUA MAWAZIRI WANAOTEMBEA NA LAP TOP TATU?? NA PETE MBILI ZA ALMASI?

tumewaona VIJANA,,,tumewaona WAZALENDO!!! tumewaona waCHAPAKAZI...

filikunjombe tumekuona unavyochapa kazi na kaka zITTO KUNUSURU NCHI.....kule poac..

USIOGOPE, JIKUSANYE NA WENZIO...WASIKUTISHE KWENYE KIKAO CHAO MCHANA...NI MAGAMBA TU HAO!!!!

KOMAA NAAMINI KABISA KUNA KITU CHA AJABU KINATAKA KUTOKEA HAPA!!!!! NA NAOMBA WANA JF TUTOE MAWAZO SASA....

UNAONAJE serekali ya tanzania chini ya waziri mkuu mteule HIS EXELENCY DEO FILIKUNJOMBE?????

ni muhimu sana kulitafakari hili wakati tunaendelea kuwalilia SOKOINE NA KOLIMBA!!!!!
 
Kwa nini asiwe Zitto? Huu sio wakati wa kuwaza vyeo kama wana nia ya kweli ya kukomboa wananchi .
 
ndoto za mizimu ya mababu!!!!!!!

serikali haiihitaji wazungumzaji inahitaji watendaji.

Tupe CV yake ya utendaji sio uzungumzaji. Nitakuwa tayari kukuunga mkono
 
NDIGu watanzania wenzangu, raia wenye mapenzi mema na inji hii, waume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo, waliosoma na wasiosoma...mabibi na mabwana!!!!

ni ushahidi tosha kuwa maisha ya watanzania wengi kwa miaka mingi yamedumazwa na kutiwa kilema na mipangilio ya utawala wa KICHIFU na ubadhirifu unaokumbatiwa na CCM!!

sasa nchi imekomaa watu wanataka wawe na uamuzi juu ya hatma ya nchi yao!!

watu wamelia..tumeona wezi wa kuku wakitupwa magerezani...wahujumu wa afya elimu na kila tunu na rasilimali ya taifa wakilindwa na kupigiwa makofi....

mwalimu alisema, naomba tumuelewe.....mwalimu...yeye ni mwanaCCM mwenye kadi namba moja...alikiri kuwa taifa kwanza CHAMA baadae!!!

wengi tumejitolea kuulea upinzani kwa nia njema ya taifa..adhabu tunazozipata ni kali sana...wengine walisema tumejitakia wenyewe!!!!

sasa umefika wakati..tuungane kuilinda nchi yetu....

waliiba kina jairo, na wenzao....wakalindwa.....

wakaua watu kule muhimbili...wakalindwa....

wakafilisi mashirika ...wakalindwa...

jamani nyie huko CCM??? mbona chama kina hazina kubwa ya watu wanaoeleweka woga uko wapi???

mnaogopa nini kuvunja baraza ya mawaziri??? kwani MPAKA SASA WABUNGE WANGAPI WAMESOMEA UWAZIRI KIASI KWAMBA HAMNA WATAALAMU WA KUTOSHA WA KUFANYA KAZI YA UWAZIRI???

NA NI PEPO GANI LILIWAKUTA MKAANZA KUCHAGUA MAWAZIRI WANAOTEMBEA NA LAP TOP TATU?? NA PETE MBILI ZA ALMASI?

tumewaona VIJANA,,,tumewaona WAZALENDO!!! tumewaona waCHAPAKAZI...

filikunjombe tumekuona unavyochapa kazi na kaka zITTO KUNUSURU NCHI.....kule poac..

USIOGOPE, JIKUSANYE NA WENZIO...WASIKUTISHE KWENYE KIKAO CHAO MCHANA...NI MAGAMBA TU HAO!!!!

KOMAA NAAMINI KABISA KUNA KITU CHA AJABU KINATAKA KUTOKEA HAPA!!!!! NA NAOMBA WANA JF TUTOE MAWAZO SASA....

UNAONAJE serekali ya tanzania chini ya waziri mkuu mteule HIS EXELENCY DEO FILIKUNJOMBE?????

ni muhimu sana kulitafakari hili wakati tunaendelea kuwalilia SOKOINE NA KOLIMBA!!!!!
Sina imani na mtu yeyote wa magamba. Wote ni mafisi tu.
 
Siasa ina mambo. Siyo kila msemaji anafaa kuwa Waziri achilia mbali waziri mkuu.
 
  1. Kessy
  2. Zambi
  3. Filikunjombe
  4. Serukamba
Basi wote hao wanastahili kuwa Mawaziri.
 
sio rahisi kwa JK kumpa uwaziri kwani kaiumbua serikali yake
kati ya waliotajwa kufukuzwa wengi ni maswaiba wake
hakuna kitiakachoendelea labda wabunge waungane wapige kura ya kutokuwa na iman na rais
 
NDIGu watanzania wenzangu, raia wenye mapenzi mema na inji hii, waume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo, waliosoma na wasiosoma...mabibi na mabwana!!!!

ni ushahidi tosha kuwa maisha ya watanzania wengi kwa miaka mingi yamedumazwa na kutiwa kilema na mipangilio ya utawala wa KICHIFU na ubadhirifu unaokumbatiwa na CCM!!

sasa nchi imekomaa watu wanataka wawe na uamuzi juu ya hatma ya nchi yao!!

watu wamelia..tumeona wezi wa kuku wakitupwa magerezani...wahujumu wa afya elimu na kila tunu na rasilimali ya taifa wakilindwa na kupigiwa makofi....

mwalimu alisema, naomba tumuelewe.....mwalimu...yeye ni mwanaCCM mwenye kadi namba moja...alikiri kuwa taifa kwanza CHAMA baadae!!!

wengi tumejitolea kuulea upinzani kwa nia njema ya taifa..adhabu tunazozipata ni kali sana...wengine walisema tumejitakia wenyewe!!!!

sasa umefika wakati..tuungane kuilinda nchi yetu....

waliiba kina jairo, na wenzao....wakalindwa.....

wakaua watu kule muhimbili...wakalindwa....

wakafilisi mashirika ...wakalindwa...

jamani nyie huko CCM??? mbona chama kina hazina kubwa ya watu wanaoeleweka woga uko wapi???

mnaogopa nini kuvunja baraza ya mawaziri??? kwani MPAKA SASA WABUNGE WANGAPI WAMESOMEA UWAZIRI KIASI KWAMBA HAMNA WATAALAMU WA KUTOSHA WA KUFANYA KAZI YA UWAZIRI???

NA NI PEPO GANI LILIWAKUTA MKAANZA KUCHAGUA MAWAZIRI WANAOTEMBEA NA LAP TOP TATU?? NA PETE MBILI ZA ALMASI?

tumewaona VIJANA,,,tumewaona WAZALENDO!!! tumewaona waCHAPAKAZI...

filikunjombe tumekuona unavyochapa kazi na kaka zITTO KUNUSURU NCHI.....kule poac..

USIOGOPE, JIKUSANYE NA WENZIO...WASIKUTISHE KWENYE KIKAO CHAO MCHANA...NI MAGAMBA TU HAO!!!!

KOMAA NAAMINI KABISA KUNA KITU CHA AJABU KINATAKA KUTOKEA HAPA!!!!! NA NAOMBA WANA JF TUTOE MAWAZO SASA....

UNAONAJE serekali ya tanzania chini ya waziri mkuu mteule HIS EXELENCY DEO FILIKUNJOMBE?????

ni muhimu sana kulitafakari hili wakati tunaendelea kuwalilia SOKOINE NA KOLIMBA!!!!!

Marekebisho
Ndigu...isomeke NDUGU
Inji....isomeke NCHI
ujumbe mzuri
 
Ikiwa kushika tu vuvuzela na kupuliza ndo utendaji wenu ccm poleni.....huko wote mmeoza hakuna msafi.
 
Jamani hebu nijuzeni coz nipo mbali na vyombo vya habari na matukio hivi sasa je tayari Pinda kasha acha kazi au?
 
Tanzania hamna upinzani...Nashangaa mambo yote yanayohusu utendaji mbovu wa Serikali yanaibuliwa na CCM wenyewe! Hawa wapinzani role yao ni nini? Ni kuandamana tu au ni ku deal na kesi zao mahakamani? Still nipo puzzled!!
 
Tanzania hamna upinzani...Nashangaa mambo yote yanayohusu utendaji mbovu wa Serikali yanaibuliwa na CCM wenyewe! Hawa wapinzani role yao ni nini? Ni kuandamana tu au ni ku deal na kesi zao mahakamani? Still nipo puzzled!!

wali=ubwabwa
 
Back
Top Bottom