kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,066
- 1,535
NDIGu watanzania wenzangu, raia wenye mapenzi mema na inji hii, waume kwa wanawake, wakubwa kwa wadogo, waliosoma na wasiosoma...mabibi na mabwana!!!!
ni ushahidi tosha kuwa maisha ya watanzania wengi kwa miaka mingi yamedumazwa na kutiwa kilema na mipangilio ya utawala wa KICHIFU na ubadhirifu unaokumbatiwa na CCM!!
sasa nchi imekomaa watu wanataka wawe na uamuzi juu ya hatma ya nchi yao!!
watu wamelia..tumeona wezi wa kuku wakitupwa magerezani...wahujumu wa afya elimu na kila tunu na rasilimali ya taifa wakilindwa na kupigiwa makofi....
mwalimu alisema, naomba tumuelewe.....mwalimu...yeye ni mwanaCCM mwenye kadi namba moja...alikiri kuwa taifa kwanza CHAMA baadae!!!
wengi tumejitolea kuulea upinzani kwa nia njema ya taifa..adhabu tunazozipata ni kali sana...wengine walisema tumejitakia wenyewe!!!!
sasa umefika wakati..tuungane kuilinda nchi yetu....
waliiba kina jairo, na wenzao....wakalindwa.....
wakaua watu kule muhimbili...wakalindwa....
wakafilisi mashirika ...wakalindwa...
jamani nyie huko CCM??? mbona chama kina hazina kubwa ya watu wanaoeleweka woga uko wapi???
mnaogopa nini kuvunja baraza ya mawaziri??? kwani MPAKA SASA WABUNGE WANGAPI WAMESOMEA UWAZIRI KIASI KWAMBA HAMNA WATAALAMU WA KUTOSHA WA KUFANYA KAZI YA UWAZIRI???
NA NI PEPO GANI LILIWAKUTA MKAANZA KUCHAGUA MAWAZIRI WANAOTEMBEA NA LAP TOP TATU?? NA PETE MBILI ZA ALMASI?
tumewaona VIJANA,,,tumewaona WAZALENDO!!! tumewaona waCHAPAKAZI...
filikunjombe tumekuona unavyochapa kazi na kaka zITTO KUNUSURU NCHI.....kule poac..
USIOGOPE, JIKUSANYE NA WENZIO...WASIKUTISHE KWENYE KIKAO CHAO MCHANA...NI MAGAMBA TU HAO!!!!
KOMAA NAAMINI KABISA KUNA KITU CHA AJABU KINATAKA KUTOKEA HAPA!!!!! NA NAOMBA WANA JF TUTOE MAWAZO SASA....
UNAONAJE serekali ya tanzania chini ya waziri mkuu mteule HIS EXELENCY DEO FILIKUNJOMBE?????
ni muhimu sana kulitafakari hili wakati tunaendelea kuwalilia SOKOINE NA KOLIMBA!!!!!
ni ushahidi tosha kuwa maisha ya watanzania wengi kwa miaka mingi yamedumazwa na kutiwa kilema na mipangilio ya utawala wa KICHIFU na ubadhirifu unaokumbatiwa na CCM!!
sasa nchi imekomaa watu wanataka wawe na uamuzi juu ya hatma ya nchi yao!!
watu wamelia..tumeona wezi wa kuku wakitupwa magerezani...wahujumu wa afya elimu na kila tunu na rasilimali ya taifa wakilindwa na kupigiwa makofi....
mwalimu alisema, naomba tumuelewe.....mwalimu...yeye ni mwanaCCM mwenye kadi namba moja...alikiri kuwa taifa kwanza CHAMA baadae!!!
wengi tumejitolea kuulea upinzani kwa nia njema ya taifa..adhabu tunazozipata ni kali sana...wengine walisema tumejitakia wenyewe!!!!
sasa umefika wakati..tuungane kuilinda nchi yetu....
waliiba kina jairo, na wenzao....wakalindwa.....
wakaua watu kule muhimbili...wakalindwa....
wakafilisi mashirika ...wakalindwa...
jamani nyie huko CCM??? mbona chama kina hazina kubwa ya watu wanaoeleweka woga uko wapi???
mnaogopa nini kuvunja baraza ya mawaziri??? kwani MPAKA SASA WABUNGE WANGAPI WAMESOMEA UWAZIRI KIASI KWAMBA HAMNA WATAALAMU WA KUTOSHA WA KUFANYA KAZI YA UWAZIRI???
NA NI PEPO GANI LILIWAKUTA MKAANZA KUCHAGUA MAWAZIRI WANAOTEMBEA NA LAP TOP TATU?? NA PETE MBILI ZA ALMASI?
tumewaona VIJANA,,,tumewaona WAZALENDO!!! tumewaona waCHAPAKAZI...
filikunjombe tumekuona unavyochapa kazi na kaka zITTO KUNUSURU NCHI.....kule poac..
USIOGOPE, JIKUSANYE NA WENZIO...WASIKUTISHE KWENYE KIKAO CHAO MCHANA...NI MAGAMBA TU HAO!!!!
KOMAA NAAMINI KABISA KUNA KITU CHA AJABU KINATAKA KUTOKEA HAPA!!!!! NA NAOMBA WANA JF TUTOE MAWAZO SASA....
UNAONAJE serekali ya tanzania chini ya waziri mkuu mteule HIS EXELENCY DEO FILIKUNJOMBE?????
ni muhimu sana kulitafakari hili wakati tunaendelea kuwalilia SOKOINE NA KOLIMBA!!!!!