Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,129
Assist?Magoli ya penalt tu ndio tanambeba
mwenzako kaleta data wewe unaleta manenoNaona mna muoverrate Sana KDB ndio kiungo mshambuliaji Bora Hadi sasa
Mechi vs liver alikuwepo huyu?Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto
Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28
Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!
Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...
View attachment 1502701
Hicho kiwengo chake kimesababishwa na Awamu ya 5Bruno Fernandez amewasili Man Utd januari hii, na mpaka sasa ameshawaacha wale aliowakuta mbali sana, impact yake katika EPL na Man Utd imekuwa kubwa sana yaani ya moto
Mpaka sasa Bruno ameshacheza Mechi 10 za EPL takwimu zake katika EPL ni kama ifuatavyo:
Mechi - 10
Magoli - 7
Assist - 6
Jumla amechangia upatikanaji wa magoli 13
Nafasi za magoli alizotengeneza - 28
Amekuwa mchezaji bora wa mechi karibu kila mechi alizocheza!
Mimi nikiwa kama shabiki kindakindaki wa Brighton Hove & Albion na EPL kwa ujumla sio vibaya Bruno Fernandez akapatiwa tuzo ya mchezaji bora wa EPL kwa mchango wake mkubwa aliouonyesha mpaka sasa! Mapovu ruksa...
View attachment 1502701
Ngoja Ollachuga Oc àje na mapovu
Magoli ya penalt tu ndio tanambeba
Subiri msimu wa mwakani tumuone. Ni mapema sana kumsifia
mwenzako kaleta data wewe unaleta maneno
kwa ambao hatuwajui tutakwelewa vipi mkuu wangu
?
Naunga mkono hoja .